debbug
JF-Expert Member
- Jun 9, 2018
- 562
- 855
Mimi niliingia na form six, sasaivi nipo namalizia masomo yangu ya shahada ya uzamili kwa ruhusa kabisa ya masomo, hivyo usiogope mkuu ingia kwanzaMkuu,
Kwa professionals kupata muda wa kujiendeleza hali ikoje?.
Au muda mwingi ni majukumu tu.
Maana kuna mwanangu (sio professional) from Monday to Sunday yupo mzigoni tu.
Kama sio escort Basi atakua guard.
Wiki hii anakesha,wiki ile anaingia mchana either Mahakamani au Bank.
Sent using Jamii Forums mobile app