Gogo Kavu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2021
- 245
- 231
Analeta ubinafsi na chuki kwa walimu wetuMwambie huyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Analeta ubinafsi na chuki kwa walimu wetuMwambie huyo.
Aaaah maana hata kitaa wacheche sana wenye mijengo afu magereza najua labda hakunaWatumishi wa umma wanakosaje mkopo mkuu??
Common sense inahitajika hata kama hujasoma ,ina maana hicho kichwa alichokupa Mungu limebeba nini humo ? Na mtu umewekwa kuwa RPC au inspector halafu unaongea utumbo kama wa yule wa Kule Tarime si bora uwe constable Tu uende lindo huko ,ni embarrassment ya ovyo sana na ndio maana jeshi la polisi linadharaulika kila kukicha.Umeongea Sana kisiasa, punguza jazba hili jeshi ni letu halipaswi kuchukiwa bali linatakiwa tulibadilishe siye ,na viongozi wetu ni waku heshimiwa haijalishi wamepita elimu ya namna gani hadi walipo
Jeshi gan hilo linataka walimu mkuuSema walimu wametakiwa wa degree
Punguza tena chuki na hasira Mzee umepanic sana, na yaliyo moyoni mwako ni zaidi ya hiyo kauli ya RPC unayoitolea mfano, kunywa maji ya kutosha shusha pumzi kwanzaCommon sense inahitajika hata kama hujasoma ,ina maana hicho kichwa alichokupa Mungu limebeba nini humo ? Na mtu umewekwa kuwa RPC au inspector halafu unaongea utumbo kama wa yule wa Kule Tarime si bora uwe constable Tu uende lindo huko ,ni embarrassment ya ovyo sana na ndio maana jeshi la polisi linadharaulika kila kukicha.
Mabadiliko makubwa yanatakiwa humo jeshi la polisi .
Kumbe bank yoyote tu wanaruhusiwa kupata mkopoMtumishi yoyote wa serikali yupo eligible kupata mkopo kwenye bank yoyote atakayotaka kulingana na mshahara wake.
Hawakuwekwa kwenye kiambatanisho A ,Kwani polisi field ya Ualimu waliambiwa wasiombe Mkuu
Hawakuwekwa kwenye kiambatanisho A ,
Hapana ,Sema walimu wametakiwa wa degree
Hukuangalia vizuri mkuu ..waliwekwaHawakuwekwa kwenye kiambatanisho A ,
Angalia 30Hapana ,
Mkuu ukiwa na cheque number unakopesheka vizurii tu.Wakuu nauliza hv magereza kunakuwaga na vimkopokopo kweli hata vya kupiga mjengo
Nafikiria kwenda kuchoma nyumba ya jamaa wa ikulu
Nipo chief nasikiliziaKijana upo?
Jiandae na usaili tu ushapitaNipo chief nasikilizia
Na iwe hivyo chief[emoji120]Jiandae na usaili tu ushapita