Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Na wengi ni viazi haswa na ndio hao wamepandishwa mpaka kuwa ma ACP na ma RPC lakini ni zero brain hata common sense Hamna ,ndio hayo mambo ya ajabu sasa ambayo mliyashuhudia kwenye zile kesi za akina Mbowe ,mambo ya PGO, polisi inspector na RPC wanaulizwa nini maana ya PGO na kuelezea kuihusu ,hawajui kitu ,na kuna mengi ya ovyo kwenye jeshi la polisi , transfomation kubwa inabidi kufanywa na ndio maana jeshi limeendelea kudhalilika .kuna moja juzi kule Tarime ,mtu kakutwa kauawa halafu mwili umefungwa kwenye Kiroba au gunia ,sasa eti ACP anasimama na kutoa maelezo kwa vyombo vya habari bila aibu eti marehemu amekufa kwa kunywa pombe na akaenda kwenye gunia na kujifunika ,what a nonsensical thing to say .

Hii inakupa reflection ya level ya mediocrity na incompetence katika jeshi la polisi ,
Ina maana hapo forensic investigation imefanyika halafu ndio wakatoka na hayo majibu au ni huyo ACP karopoka kama mlevi ,hii inakupa mashaka sana na maswali mengi kuhusu jeshi la polisi
Wanasiasa ndo wanataka makamanda wa ivo sasa ili wawapelekeshe we unadhani ukiwa na akili timamu na mtenda haki utatoboa?
 
Wakuu hapa kwenye utaratibu wa kutuma sijaelewa yaan tuandike barua kwa mguu wa gereza wa wilaya husika....na hapo wanasema barua zote zitume kwa posta tena
Anamaanisha

barua tuma posta lakini anuani iwe ya gereza la wilaya ya sehemu uliyopo maana ndio barua yako inapoenda


Elfu mbili tu hapo haya changamka

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom