Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Yaani ,inakatisha tamaa kabisa Tawa ,Ngorongoro Ncca ,Tanapa wakuu mtupe majibu link na nyinyi mtatoa nafasi za ajira kwa watanzania vijana wazalendo waliopitia kozi za uhifadhi ktk vyuo vya mweka na pasiansi na ambao ni jeshi usu kwa sasa kwa taasisi zote za kiuhifadhi
Hao huwa wanatoa kupitia utumishi mkuu,post kibao mwaka jana walitoa kama 500+ hvi,plus Security Guards-TFS
 
Hivi kamanda level ya Kanali anaweza kusaidia ?
Kanal ni cheo kikubwa saana ona mpangilio

1.Rais
2.CDF (mkuu wa majeshi)
3.Luten General (TZ Nzima wapo wawili au mmoja alikuwa anakuwa mmoja but magu aliweka wawili)

4.meja General
5.Brigedia General
6.KANALI
7.Luten kanali
7.meja

Mikoa mingi wanajeshi mwenye cheo kikubwa kabisa huwa ni kanali ndio top wa mkoa so kanali ni mzito saana

●Jamaa wa ikulu weeeeeeeee[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Wengi ndo wanakuaga wakubwa wa vikosi.. vya JKT. Kama sijakosea
Wakubwa wa vikosi mara nyingi huwa ni
1.captain
2.Luten

Ni ngumu saana kumkuta kanal ni mkuu wa JKT kumbuka mikoa mingi haina brigedia general

Mfano mkoa wa kigoma mwanajeshi mwenye cheo kikubwa mkoa mzima ni kanali ambae anaripoti FARU tabora

Kanal wa kigoma Risasi 70 anapata shabaha zote
 
Wakubwa wa vikosi mara nyingi huwa ni
1.captain
2.Luten

Ni ngumu saana kumkuta kanal ni mkuu wa JKT kumbuka mikoa mingi haina brigedia general

Mfano mkoa wa kigoma mwanajeshi mwenye cheo kikubwa mkoa mzima ni kanali ambae anaripoti FARU tabora

Kanal wa kigoma Risasi 70 anapata shabaha zote
Nitajie hicho kikosi ambacho mkuu wake wa kikosi ni luten, hata kimoja tu ndugu.
 
Back
Top Bottom