Don Vill
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 2,249
- 5,674
We jamaaa🤣🤣🤣🤣
Kuna mtoto wa barozi wetu wa Rwanda dingi yake alikuwa ni mnene jeshini kama una mbinu za kimedani nikuunganishe na huyo mtoto ni she nimesoma nae chuo uchonge nae utembelee connection zake zilizopo huku(for ur own risk ukipunwa utajijua)
Nimeota nimemchoma mkuki jamaa wa ikulu