Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Wachache sana wanakumbukaga walipotoka.


Kuna mdingi nilikuwa nachat nae jana huko zanziba tulikutana tu mtandao x huko. Na yupo position nzuri kabisa UT, alichoniambia ni kwamba nimechelewa kumwambia ila angenishika mkono. Aah sasa me si nikaendelea kumuuliza baadhi ya mambo ya kawaida kabisa, mamaee nilichezea blue tick mpaka najuta.
Kama pdf ipo tayari inakuw ngumu maana inakuw inasubiri approval tu ya kuwa released...which I think is the case here maybe.
 
Vigezo huna wakuchukue tu labda uwe na mbanga nyie jipeni moyo tu wenzenu juzi hapa wamemaliza mikataba yao na mtakutana nao wengi tu kwenye mapambano
Ngoja nkupe kidogo, mwaka jana vigzo vilikuwa ni kuanzia 4 ya 28 au 29 kama sikosei lakini hao hao polisi walirudi kwenye kambi x wakafolenisha vijana na kwa surplus ile ikabidi wachukue mpaka vijana wa div 1 na tu tena kwa shingo upande kabisa lakini leo hii vijana wale wapo kwenye ajira zao.

Halafu nimekuja kugundua ya kuwa una babaika sana, umeona kuna sehemu nimeandika kuwa mimi ni kijana wa jkt na nipo kambini?
 
Mzee anazingua...sema wengine huwa wanaogopa wanafikiri vijana mnatumwa kuchunguza credibility ya zoez zima la ajira..involvement ya.mambo ya kubebana au rushwa
Yah!! Nilihisi hivyo pia , ila kama ni mtego, angenikataa , asinge ruhusu maongezi zaidi. Maana kabla alishaniambia napaste reply yake hapa Kwa dodoma tumeshachelewa maana muda wowote mtaitwa kwenye usaili na wa huku Zanzibar nao watatangaza waliochaguliwa kwenye usaili wakati wowote
 
Yah!! Nilihisi hivyo pia , ila kama ni mtego, angenikataa , asinge ruhusu maongezi zaidi. Maana kabla alishaniambia napaste reply yake hapa Kwa dodoma tumeshachelewa maana muda wowote mtaitwa kwenye usaili na wa huku Zanzibar nao watatangaza waliochaguliwa kwenye usaili wakati wowote
Jina likitokea kwenye pdf mrukie hewani
 
Yah!! Nilihisi hivyo pia , ila kama ni mtego, angenikataa , asinge ruhusu maongezi zaidi. Maana kabla alishaniambia napaste reply yake hapa Kwa dodoma tumeshachelewa maana muda wowote mtaitwa kwenye usaili na wa huku Zanzibar nao watatangaza waliochaguliwa kwenye usaili wakati wowote
Yupo sahihi kabisa sijui ni nini kinawafanya wadelay ila walishamaliza. UT ni taasisi ambayo huwa wako speedy kidogo na systematically mambo yao. Vijana muendelee kusubiri huku mkijiandaa pia.
 
Wachache sana wanakumbukaga walipotoka.


Kuna mdingi nilikuwa nachat nae jana huko zanziba tulikutana tu mtandao x huko. Na yupo position nzuri kabisa UT, alichoniambia ni kwamba nimechelewa kumwambia ila angenishika mkono. Aah sasa me si nikaendelea kumuuliza baadhi ya mambo ya kawaida kabisa, mamaee nilichezea blue tick mpaka najuta.
Oyaa bluetick hyo ndio nin wajuba?[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom