Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hakuna shida kama atapita maana hata baadhi kwenye intake yetu walikuw na hiyo shida ila wakasaidiwa na wanasheria wa polisi kule kwenye mambo ya affidavit. Ila namshauri awe afanye mchakato wa kisheria awe na affidavit maana hiyo itamletea changamoto ikitokea amekosa polisi au akiwa anatafuta kazi nyingine.
Nimetoka kuchukua hio Affidavit afanye kweli achukue buku kumi tu anapata

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna shida kama atapita maana hata baadhi kwenye intake yetu walikuw na hiyo shida ila wakasaidiwa na wanasheria wa polisi kule kwenye mambo ya affidavit. Ila namshauri awe afanye mchakato wa kisheria awe na affidavit maana hiyo itamletea changamoto ikitokea amekosa polisi au akiwa anatafuta kazi nyingine.
Kizazi sana.
 
Back
Top Bottom