Ndege Tai
JF-Expert Member
- May 6, 2020
- 4,439
- 8,184
Kwa mkuu wa gereza wilaya.Ulituma wapi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mkuu wa gereza wilaya.Ulituma wapi mkuu
Eeeh kaka ndio mpaka ubahatike kuwepo kwenye hzo wilaya.....mfano dar daah sio poa nyomi la watu wengi wanakimbilia huku, tofauti na mikoa mingineWilaya ambazo hazina watu wengi ndio vzuri
Hapo magori kaka.....kuitwa lazimaKwa mkuu wa gereza wilaya.
Ni kupiganisha tuMe pia nimetuma japo kigezo cha umri kimeniacha.....ila namuomba mungu na kuendelea kutafuta mbanga kama nitapata
Nafikiri bado mkuu maana mwisho wa kutuma maombi ilikuwa tarehe 5 mwezi huuKwani MT washaanza kuita watu kwenye sahili ?
Ishu mbanga kaka nahangaika acha tuNi kupiganisha tu
Ni mwaka mmoja kwa utaratibu mpya wa sasa kwa recruit coursePT inameremeta sana kipindi hiki mtaoenda huko hongereni sana tambueni kuna wenzenu tulitamani tupate nafasi hizo lakini haikuwa bahati kwetu,nendeni mkasimamie sana nidhamu yenu maana ndiyo msingi wa PT,miezi 9 siyo mingi kama una tafakuri ya mbali hayo ni maisha.
Msidanganyike kwa lolote maana nimesikia mtakutana na wakongwe chomboni (kozi ya uongozi mdogo koplo) nao watakuwa Moshi) pambaneni sana.
Hakuna kozi rahisi kozi ni kozi tu ila fungueni moyo.
Ajira za majeshi zinalipa sana.
Daaah noma sanabado mzee kwa sasa hizo ni ronja tuu hamna kozi ya awali ya kijeshi ya miezi 12
Ni kweli sio lonjabado mzee kwa sasa hizo ni ronja tuu hamna kozi ya awali ya kijeshi ya miezi 12
Kwamba PT wanaenda kupiga kozi mwaka mzima auNi kweli sio lonja
KLife linazidi kuwa gumu, umri unaenda, ajira za majeshi zinanipita, mibanga nayo naikosa.....daaaah😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Taasisi Ya kula rushwa na kudhulumu haki.Jeshi la polisi Tanzania limetangaza nafasi za kazi, kwa maelekezo zaidi soma[emoji116]
View attachment 1897057View attachment 1897058
Mkuu sina hyo elimu aseeMkuu kama upo na 26 yrs usikate Tamaa c utatumia cheti cha degree mpka miak 30 au vip sema MT ndo wamespecify
K