Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Maafande kwa yyte mwenye connection kwenye hizi Kampuni za Ulinzi anipm aisee nipo Morogoro nimepigwa Ndoinge nyingine.[emoji24]
international hzna kujuaana ila zina bureaucracy nyingi hsa upande wa wadhamini na documets zako, kwa dar nenda hzi mbili Gardaworld-mikocheni kwa mwinyi near palm village mall, au uende G4s ubalozi wa ufaransa
 
Naona leo hamjadili tena salary scale! Wala mabishano ya nyota ya polisi na ya JW! Maisha yanaenda kasi sana Mungu Bado yupo usikate tamaa! Shukuruni kwa kila jambo
 
Back
Top Bottom