Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Em tushone tusubir PDF!!! mambo yasiwe mengi Mara nimeyachungulia Mara nn[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yaaan mi nikiona mtu kajiunga jaza au juzi then anakuja anasema mara kaiona PDF mara sijui majina yanatoka kesho naonaga ndo kina yahaya tuu[emoji2][emoji2][emoji2]...jichanganye sasa wavenezuela Wapite na wewe
 
Na wanajua kabisa akisema kayaona Kuna watu wanaroho nyepesi watamfuata DM wakitaka waangaliziwe kama wamepita au laah hapo sasa ndo Wazee wa Venezuela wanapataka.wa Cuba mmelewa
 
Yaaan mi nikiona mtu kajiunga jaza au juzi then anakuja anasema mara kaiona PDF mara sijui majina yanatoka kesho naonaga ndo kina yahaya tuu[emoji2][emoji2][emoji2]...jichanganye sasa wavenezuela Wapite na wewe
Narudia kusema wana jf,,,hizo username za watu humu zioneni hivyo hivyo,usimchukulie mtu poa kisa amejiunga jana,watu wanabadili username kila kukicha ili msiwaelewe...
 
Narudia kusema wana jf,,,hizo username za watu humu zioneni hivyo hivyo,usimchukulie mtu poa kisa amejiunga jana,watu wanabadili username kila kukicha ili msiwaelewe...
Hapa Nina kazia,
Vijana mnapoona username mpya sio eti ni waheni humu jf ni namna ya kunyumbulika kutokana na muktadha tu. Ila kuhusu pdf vijana msiwe na pressure majina ya polisi tayari yameshapangwa kinachosubiriwa ni kupost tu Sasa acheni mteru vijana.

Kutokana na experience ninawashauri musiwe na mategemeo makubwa ili muweze kuyapokea matokeo yeyote kwani watakao achwa ni wengi zaidi kuliko watakaoenda CCP. All the best kamandaa.
 
Kwan mtu akijoin january braza ina affect vip ukweli wa taarifa zake...mbona huna logic kbsaa
Binafsi nawashangaa sana hawa wanaokomaa na hizi mambo ya join lini sijui.. mtu anaweza akawa anaview tu hajaregister jf kwa muda mrefu ila akaamua tu kuingia karibuni. Kuna mtu afisa mkubwa alikuw anaview tu na akaja kuingia na kucomment kwenye huu uzi kuhusu kitu fulan...hizi IDs wengine msichukulie poa . Ingawa ni kweli umakin unahitajika pia
 
Hapa Nina kazia,
Vijana mnapoona username mpya sio eti ni waheni humu jf ni namna ya kunyumbulika kutokana na muktadha tu.
Ila kuhusu pdf vijana msiwe na pressure majina ya polisi tayari yameshapangwa kinachosubiriwa ni kupost tu Sasa acheni mteru vijana.
Kutokana na experience ninawashauri musiwe na mategemeo makubwa ili muweze kuyapokea matokeo yeyote kwani watakao achwa ni wengi zaidi kuliko watakaoenda CCP. All the best kamandaa.
Sahihi kabisa,nina data za watu waliopoga usahili ufundi na tehama...ila watu waendelee kusubiri pdf bila kuwa na matarajio makubwa
 
Back
Top Bottom