Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Duuuuh nina miaka 31, ndoto yangu ni kuwa JWTZ elimu digri (hapa najuta kwa nini nilijichanganya kusoma tena umri ukaenda tena kusoma maana six nilizingua na ma E flat miaka ile ya 2013) ilitakiwa niende kule mapema sana kufanya kazi ninayoipenda ktk uso wa hii dunia.
Sasa Nafsi inanisuta kila siku kila mda inataka niwepo jeshini, taaluma yangu ni ya kiboya jeshi haliitaki ! Utumishi .... NGUMI AINA YA SUGUNYO (japo hata wangenipa kazi ningewakimbia badae na kupambania kurudi kwenye kazi niliyoandikiwa kuja kuifanya ya JWTZ) Umri umeshanitema ningeenda hata kujitolea nikabasti kozi tena (maana nilienda mujibu wa sheria) fani nzuri sina mamamamamaeeeeeh ! Mbuyu sina manina zangu .... Maisha haya nyoko sana, acha kabisa.
Oya Kwa hiyo siku moja nitakuja kufa bila kuwa askari wa JWTZ au [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] ? Yani siamini Hivi humu hamna wa kunishika mkono aiseeeh nikalivae baka walau nije kudedia kunako uwanja wa kivita nikipambania amani ya dunia hii ?
Fanya mpango uende nje nchi kama Marekani au Ukraine au Russia jeshi chap kule kazi hizi watu hawazimind
 
Fanya mpango uende nje nchi kama Marekani au Ukraine au Russia jeshi chap kule kazi hizi watu hawazimind
Sina nauli tuu ningeshaenda huko tena mda. Maana kama kupambana kote ili kuzama jeshini mwishowe unaonekana boya tuu na huna maana hapa nyumbani hapa, si mtu angeenda nje tuu kiroho safi.
 
Oya wanangu vipi kwenye usaili wa JWTZ na wenyewe wanahitaji kitu cha NIDA ili mtu aangalie utaratibu wa kupambania kombe kwa unaa mwingine kwa kuichekecha hiyo kitu au ikoje ?
Pesa ya kuwahonga makamanda wanipe nafasi nayo, SINA !
yani ni kama komandoo akiwa vitani, ameishiwa risasi na viazi (mabomu) sasa anatamani afanye UP achomoke hapo lakini hawezi kutokana na kwamba amezungukwa na adui zake wenye silaha nzito. Noma sana.
Tafuta connection mkuu nafasi zipo..
 
Oya wanangu vipi kwenye usaili wa JWTZ na wenyewe wanahitaji kitu cha NIDA ili mtu aangalie utaratibu wa kupambania kombe kwa unaa mwingine kwa kuichekecha hiyo kitu au ikoje ?
Pesa ya kuwahonga makamanda wanipe nafasi nayo, SINA !
yani ni kama komandoo akiwa vitani, ameishiwa risasi na viazi (mabomu) sasa anatamani afanye UP achomoke hapo lakini hawezi kutokana na kwamba amezungukwa na adui zake wenye silaha nzito. Noma sana.
Jeshi lolote karne hii sifa ni mbanga.....
 
Sina nauli tuu ningeshaenda huko tena mda. Maana kama kupambana kote ili kuzama jeshini mwishowe unaonekana boya tuu na huna maana hapa nyumbani hapa, si mtu angeenda nje tuu kiroho safi.
Daaah usikate tamaa ila uwe unajaribu nq mishe nyingine, unaweza ukatoboa ukasahau majeshi Mimi nmehangaika sana nina Uzalendo sipendi ajira napenda kazi nitumikie naamjni maaka huu zamu yangu nasubiri PDF sema me Umri bado nina 24 nina nafasi bado
 
Daaah usikate tamaa ila uwe unajaribu nq mishe nyingine, unaweza ukatoboa ukasahau majeshi Mimi nmehangaika sana nina Uzalendo sipendi ajira napenda kazi nitumikie naamjni maaka huu zamu yangu nasubiri PDF sema me Umri bado nina 24 nina nafasi bado
Mungu akutangulie ndugu. Kila la kheri bado umri wako ni mdogo.
 
Duuuuh nina miaka 31, ndoto yangu ni kuwa JWTZ elimu digri (hapa najuta kwa nini nilijichanganya kusoma tena umri ukaenda tena kusoma maana six nilizingua na ma E flat miaka ile ya 2013) ilitakiwa niende kule mapema sana kufanya kazi ninayoipenda ktk uso wa hii dunia.
Sasa Nafsi inanisuta kila siku kila mda inataka niwepo jeshini, taaluma yangu ni ya kiboya jeshi haliitaki ! Utumishi .... NGUMI AINA YA SUGUNYO (japo hata wangenipa kazi ningewakimbia badae na kupambania kurudi kwenye kazi niliyoandikiwa kuja kuifanya ya JWTZ) Umri umeshanitema ningeenda hata kujitolea nikabasti kozi tena (maana nilienda mujibu wa sheria) fani nzuri sina mamamamamaeeeeeh ! Mbuyu sina manina zangu .... Maisha haya nyoko sana, acha kabisa.
Oya Kwa hiyo siku moja nitakuja kufa bila kuwa askari wa JWTZ au [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] ? Yani siamini Hivi humu hamna wa kunishika mkono aiseeeh nikalivae baka walau nije kudedia kunako uwanja wa kivita nikipambania amani ya dunia hii ?
Mkuu njia rahisi cheza green card lottery ikitokea ukashinda pambana uende ukajiunge na jeshi la Marekani kule wanachukua hadi miaka 35, labda kama unataka kulitumikia jeshi la nchi yako tu ila Mtipidii mwisho miaka 28 haijalishi una level gani ya elimu, anyway tafuta connection lakini
 
Mkuu njia rahisi cheza green card lottery ikitokea ukashinda pambana uende ukajiunge na jeshi la Marekani kule wanachukua hadi miaka 35, labda kama unataka kulitumikia jeshi la nchi yako tu ila Mtipidii mwisho miaka 28 haijalishi una level gani ya elimu, anyway tafuta connection lakini
Ahaaaah mkuu naomba maelekezo na mchanganuo wa gharama zake. Je ikitokea ukashinda, nauli wanakupatia ? Au tiketi ya pipa ?
 
Mkuu njia rahisi cheza green card lottery ikitokea ukashinda pambana uende ukajiunge na jeshi la Marekani kule wanachukua hadi miaka 35, labda kama unataka kulitumikia jeshi la nchi yako tu ila Mtipidii mwisho miaka 28 haijalishi una level gani ya elimu, anyway tafuta connection lakini
Kuna kipindi walichukua madaktari Bingwa waliweka mwisho 35
 
Oya wanangu vipi kwenye usaili wa JWTZ na wenyewe wanahitaji kitu cha NIDA ili mtu aangalie utaratibu wa kupambania kombe kwa unaa mwingine kwa kuichekecha hiyo kitu au ikoje ?
Pesa ya kuwahonga makamanda wanipe nafasi nayo, SINA !
yani ni kama komandoo akiwa vitani, ameishiwa risasi na viazi (mabomu) sasa anatamani afanye UP achomoke hapo lakini hawezi kutokana na kwamba amezungukwa na adui zake wenye silaha nzito. Noma sana.
Kuna rafik angu Ana 33 year degree uchumi,nimempambania ameingia jeshi flani japokua kigezo cha umri hana..
 
Mkuu njia rahisi cheza green card lottery ikitokea ukashinda pambana uende ukajiunge na jeshi la Marekani kule wanachukua hadi miaka 35, labda kama unataka kulitumikia jeshi la nchi yako tu ila Mtipidii mwisho miaka 28 haijalishi una level gani ya elimu, anyway tafuta connection lakini
Ushauri unaweza kuwa mzuri lakini kwa alivyojieleza hata iyo hela kutosha kumfikisha USA atahustle sana.
 
Naona mambo mawili
1)unamtia moyo kuwa umri sio issue as long as una Nia ipo siku atapata anachohitaji
2) Venezuela,watu waje DM.
Kupanga ni kuchagua
[emoji16][emoji16][emoji16]mimi natoa tu ushuhuda kwamba haya mambo yanaeezekana hata awe na miaka 35....sifa mbanga

Nb:sitaki hata mtu aje dm mkuu wala sina hata hilo lengo
 
Now I'm believing being idle without anything which keep you busy ni mtihani kweli kweli....

Hizi ndio ajira nimeomba afu kila siku kila muda nawaza zitatoka lini, is like naingia jf Mara 30 kwa siku kuchungulia PDF

Na nimegindua hiyo yote ni kwasababu kwa sasa sina tena pale nilipokuwa nikijishkiza

Umri unasonga, majukumu, fear andstress and sometime depression....

Kwa ndugu zangu waislam kwa sasa naielewa sana hii aya

وَأَمَّا السَّائِلَ فَلَا تَنْهَرْ

Na anaye omba au kuuliza usimkaripie








Jamani mtu akikuomba hata kama kipo nje ya uwezo wako au kwa mizani yako unaona labda yeye ni mzembe mvivu hajiongezi hajutumi jaribu tu kumjibu kwa wema muelimishe ila usimkaripie au kumjibu vibaya.....people are suffering out there tunapitia mengi kwelikweli
 
Now I'm believing being idle without anything which keep you busy ni mtihani kweli kweli....

Hizi ndio ajira nimeomba afu kila siku kila muda nawaza zitatoka lini, is like naingia jf Mara 30 kwa siku kuchungulia PDF

Na nimegindua hiyo yote ni kwasababu kwa sasa sina tena pale nilipokuwa nikijishkiza

Umri unasonga, majukumu, fear andstress and sometime depression....

Kwa ndugu zangu waislam kwa sasa naielewa sana hii aya

وَأَمَّا السَّائِلَ فَلَا تَنْهَرْ

Na anaye omba au kuuliza usimkaripie








Jamani mtu akikuomba hata kama kipo nje ya uwezo wako au kwa mizani yako unaona labda yeye ni mzembe mvivu hajiongezi hajutumi jaribu tu kumjibu kwa wema muelimishe ila usimkaripie au kumjibu vibaya.....people are suffering out there tunapitia mengi kwelikweli
Kweli mkuu mtaani mambo ni magumu mno kama uko idle tu aisee, Mwenyezi Mungu atutilie wepesi[emoji120]
 
kukata tamaa na qudra za mungu ni Dhambi....!

Kila mtu Ana rizk yake alioandikiwa na mungu katika huu ulimwengu,hata ikitokea mtu umekosa kazi majeshini amini kwamba haikua rizk yako,shukuru mungu endelea kupambana upande mwengine pamoja na kuomba mungu..

Kuna rafiki angu alienda magereza depo namba flani hivi akatolewa unfit, jamaa alichanganyikiwa lakin nikamcouncel akakaa sawa,yamungu mengi tamisemi wakatoa ajira jamaa akaomba,alikua na barchelor ya ualimu wa hesabu jamaa akapata tamisemi yupo kilimanjaro..


Kwahiyo,tusivunjike moyo wapambanaji,rikz zetu zipo tuu na wakati ukifika utapata tuu haiendi kwa mwengine wakuu...
 
Back
Top Bottom