Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Mwezi wa nane kinaumana vijana tafuteni connection muda bado unaruhusu leo nikiwa kwenye daladala naenda kariakoo kuna mama mmoja alikuwa anakngea na mtoto wake kweny simu anamwambia aanze kujiandaa yeye jina lake tayari lipo kwahyo wakitangaza kuita usahil yeye anaondoka moja kwa moja DODOMA haendi kwenye usahili....akàwa anamwambia jiandae anza kununua vifaa vya kule nyoa hcho kiduku chako muda wowote unaondoka.......

Daaaaah nimekaa kwenye daladala roho imeniuma kweli yaan wengine tayar wanauhakika hata usahili hawapiti inaitwa moja kwa moja hio sema tuzidi kutafuta mibuyu tu ila kuingia hivi hivi ni ngumu sana wanangu....ila sir god atabless kama ipo ipo tuu haijalishi wewe umepitia njia yenye milima na mabonde mito na jangwa....wengine wamepita barabara iliyonyoka ila wote tutafika tu jambo kubwa ni kumuomba MUNGU tu na Mungu huwa anajibu kwa wakati wake cha muhimu tusikate tamaaa tu....
 
Mwezi wa nane kinaumana vijana tafuteni connection muda bado unaruhusu leo nikiwa kwenye daladala naenda kariakoo kuna mama mmoja alikuwa anakngea na mtoto wake kweny simu anamwambia aanze kujiandaa yeye jina lake tayari lipo kwahyo wakitangaza kuita usahil yeye anaondoka moja kwa moja DODOMA haendi kwenye usahili....akàwa anamwambia jiandae anza kununua vifaa vya kule nyoa hcho kiduku chako muda wowote unaondoka.......

Daaaaah nimekaa kwenye daladala roho imeniuma kweli yaan wengine tayar wanauhakika hata usahili hawapiti inaitwa moja kwa moja hio sema tuzidi kutafuta mibuyu tu ila kuingia hivi hivi ni ngumu sana wanangu....ila sir god atabless kama ipo ipo tuu haijalishi wewe umepitia njia yenye milima na mabonde mito na jangwa....wengine wamepita barabara iliyonyoka ila wote tutafika tu jambo kubwa ni kumuomba MUNGU tu na Mungu huwa anajibu kwa wakati wake cha muhimu tusikate tamaaa tu....
Kinaumana jeshi gani ? 'Intake' itawahusu wa mtaani wasomi ? Fani ipi au ni walioko makambini ? Naomba ufafanuzi ndugu.
 
Mwezi wa nane kinaumana vijana tafuteni connection muda bado unaruhusu leo nikiwa kwenye daladala naenda kariakoo kuna mama mmoja alikuwa anakngea na mtoto wake kweny simu anamwambia aanze kujiandaa yeye jina lake tayari lipo kwahyo wakitangaza kuita usahil yeye anaondoka moja kwa moja DODOMA haendi kwenye usahili....akàwa anamwambia jiandae anza kununua vifaa vya kule nyoa hcho kiduku chako muda wowote unaondoka.......

Daaaaah nimekaa kwenye daladala roho imeniuma kweli yaan wengine tayar wanauhakika hata usahili hawapiti inaitwa moja kwa moja hio sema tuzidi kutafuta mibuyu tu ila kuingia hivi hivi ni ngumu sana wanangu....ila sir god atabless kama ipo ipo tuu haijalishi wewe umepitia njia yenye milima na mabonde mito na jangwa....wengine wamepita barabara iliyonyoka ila wote tutafika tu jambo kubwa ni kumuomba MUNGU tu na Mungu huwa anajibu kwa wakati wake cha muhimu tusikate tamaaa tu....
Kwa makisio itakua Zimamoto au Uhamiaji maana hao hawana recruits kwa sasa
 
Mwezi wa nane kinaumana vijana tafuteni connection muda bado unaruhusu leo nikiwa kwenye daladala naenda kariakoo kuna mama mmoja alikuwa anakngea na mtoto wake kweny simu anamwambia aanze kujiandaa yeye jina lake tayari lipo kwahyo wakitangaza kuita usahil yeye anaondoka moja kwa moja DODOMA haendi kwenye usahili....akàwa anamwambia jiandae anza kununua vifaa vya kule nyoa hcho kiduku chako muda wowote unaondoka.......

Daaaaah nimekaa kwenye daladala roho imeniuma kweli yaan wengine tayar wanauhakika hata usahili hawapiti inaitwa moja kwa moja hio sema tuzidi kutafuta mibuyu tu ila kuingia hivi hivi ni ngumu sana wanangu....ila sir god atabless kama ipo ipo tuu haijalishi wewe umepitia njia yenye milima na mabonde mito na jangwa....wengine wamepita barabara iliyonyoka ila wote tutafika tu jambo kubwa ni kumuomba MUNGU tu na Mungu huwa anajibu kwa wakati wake cha muhimu tusikate tamaaa tu....
Mmama mwenye connection afu kapanda daladala!! Mhhh
 
Mwezi wa nane kinaumana vijana tafuteni connection muda bado unaruhusu leo nikiwa kwenye daladala naenda kariakoo kuna mama mmoja alikuwa anakngea na mtoto wake kweny simu anamwambia aanze kujiandaa yeye jina lake tayari lipo kwahyo wakitangaza kuita usahil yeye anaondoka moja kwa moja DODOMA haendi kwenye usahili....akàwa anamwambia jiandae anza kununua vifaa vya kule nyoa hcho kiduku chako muda wowote unaondoka.......

Daaaaah nimekaa kwenye daladala roho imeniuma kweli yaan wengine tayar wanauhakika hata usahili hawapiti inaitwa moja kwa moja hio sema tuzidi kutafuta mibuyu tu ila kuingia hivi hivi ni ngumu sana wanangu....ila sir god atabless kama ipo ipo tuu haijalishi wewe umepitia njia yenye milima na mabonde mito na jangwa....wengine wamepita barabara iliyonyoka ila wote tutafika tu jambo kubwa ni kumuomba MUNGU tu na Mungu huwa anajibu kwa wakati wake cha muhimu tusikate tamaaa tu....
Hii itakua magereza.
 
Naomba kuuliza kwa wanaojua, Msata na Oljoro ni kambi ipi ngumu na ipi rahisi kuingia kati ya hizo, kwa watu wenye fani walioko uraiani ambao wanategemea connection
 
Naomba kuuliza kwa wanaojua, Msata na Oljoro ni kambi ipi ngumu na ipi rahisi kuingia kati ya hizo, kwa watu wenye fani walioko uraiani ambao wanategemea connection
Majina ya wanaotakiwa kupiga kozi huwa yanatokea makao makuu.

Kwahyo hapo ni mbanga wako tu..kama anaweza kukufanyia mipango..anakuchomeka tu.
 
Naomba kuuliza kwa wanaojua, Msata na Oljoro ni kambi ipi ngumu na ipi rahisi kuingia kati ya hizo, kwa watu wenye fani walioko uraiani ambao wanategemea connection
Nasikia kihangaiko(msata) ni pagumu hamna mfano.

Oljoro watoto wa maofisa wengi hupelekwa kule kwahiyo scale kuna muda huwa inasinyaa baada ya kukakamaa sana.
 
Majina ya wanaotakiwa kupiga kozi huwa yanatokea makao makuu.

Kwahyo hapo ni mbanga wako tu..kama anaweza kukufanyia mipango..anakuchomeka tu.
Yeah naelewa mkuu ila nilitaka kufahamu tu wapi parahisi kama una connection ya kawaida tu
 
Nasikia kihangaiko(msata) ni pagumu hamna mfano.

Oljoro watoto wa maofisa wengi hupelekwa kule kwahiyo scale kuna muda huwa inasinyaa baada ya kukakamaa sana.
Huko kwenye scale ngumu ndio kuzuri..unamaliza kozi unakua umeiva sawa sawa
 
Nasikia kihangaiko(msata) ni pagumu hamna mfano.

Oljoro watoto wa maofisa wengi hupelekwa kule kwahiyo scale kuna muda huwa inasinyaa baada ya kukakamaa sana.
Shukrani mkuu hili jibu limenyooka

Haya mambo yanachanganya sana maana kuna wengine wanasema Msata parahisi kwa wenye connection mara wengine wanasema Oljoro ndio parahisi ndio maana nikaona nije kuuliza humu

Hapo kwa scale umemaanisha kwamba course ya Oljoro huwa imepoa kidogo kuliko ya Msata au
 
Shukrani mkuu hili jibu limenyooka

Haya mambo yanachanganya sana maana kuna wengine wanasema Msata parahisi kwa wenye connection mara wengine wanasema Oljoro ndio parahisi ndio maana nikaona nije kuuliza humu

Hapo kwa scale umemaanisha kwamba course ya Oljoro huwa imepoa kidogo kuliko ya Msata au
Ndio oljoro kozi imepoa ,, hivyo wakishua wengi wanapagombania.
 
Huko kwenye scale ngumu ndio kuzuri..unamaliza kozi unakua umeiva sawa sawa
Hahaha mkuu scale ya Msata kuwa ngumu haimaanishi kuwa Oljoro ndio rahisi zote ngumu ila ni kwamba tu kuna mahali zinazidiana kidogo, otherwise madoso yako pale pale na wote lazima muive vizuri tu hamna anayetoka nanga, ile ni course ya ajira siyo mujibu
 
Hahaha mkuu scale ya Msata kuwa ngumu haimaanishi kuwa Oljoro ndio rahisi zote ngumu ila ni kwamba tu kuna mahali zinazidiana kidogo, otherwise madoso yako pale pale na wote lazima muive vizuri tu hamna anayetoka nanga, ile ni course ya ajira siyo mujibu
Nimekupata chief
 
Oljoro sio pagumu sana kulinganisha na kihangaiko.. Kihangaiko ni kuhangaika aisee..[emoji28]
 
Oljoro sio pagumu sana kulinganisha na kihangaiko.. Kihangaiko ni kuhangaika aisee..[emoji28]
Kama nawaona vile walishapiga zao six weeks za mkesha saa hizi wako pori

Hilo jina lisikutishe mkuu Kihangaiko ni jina la kijiji tu huko Bagamoyo hiyo kambi imechukua jina la hicho kijiji

Kuna sehemu pia inaitwa Kiharaka huko Bagamoyo so ni majina tu
 
Back
Top Bottom