Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Ninavusikia kwamba msata ndo main rts ya ajira inakua ngumu sababu askari weng wakufunzi wanakua pale ndo ikitokea ajira sehem ya kwanza ni msata wa ziada ndo wanapelekwa orjoro
Hvyo ata masuala ya vipimo msata inakua ngumu sababu hyo wakubwa wengi wapo pale wanapatolea macho sana
 
Ninavusikia kwamba msata ndo main rts ya ajira inakua ngumu sababu askari weng wakufunzi wanakua pale ndo ikitokea ajira sehem ya kwanza ni msata wa ziada ndo wanapelekwa orjoro
Hvyo ata masuala ya vipimo msata inakua ngumu sababu hyo wakubwa wengi wapo pale wanapatolea macho sana
Oyaa.. kumbe kuna watu wana bypass vipimo.
 
Naona baada ya maadhimisho ya miaka 60 ya JKT simu zitaanza kuita..

Watu wa Oljoro wajiandae.
 
Waje vijana RTS sio mafunzo ya Jkt imagine kombania ina watu 150 platoon watu 50 platoon3, kila platoon inashikiliwa na makamanda alafu ukute zile gogo zimelowekwa siku14 mwendo wa kipenga pyeee, pyeeee pyeeee mpaka monie ahaha Oljoro pagumu acheni ujinga
Mkuu waelezee na tifu la uwanja wa damu, hizo six weeks za mkesha tu ukisikia mtu anakuwa kichaa anavua hadi nguo maana yake siyo masikhara, Kuruta anaenda mabio ya alfajiri anakimbia huku amelala anavamia mti anapigiza kichwa anazimia [emoji16][emoji16]
 
Mkuu waelezee na tifu la uwanja wa damu, hizo six weeks za mkesha tu ukisikia mtu anakuwa kichaa anavua hadi nguo maana yake siyo masikhara, Kuruta anaenda mabio ya alfajiri anakimbia huku amelala anavamia mti anapigiza kichwa anazimia [emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16]hiyo niliwahi kusikia kuruta unakuwa kama zombie huelewi unatembea uku unalala, unawezwa agizwa ndoo ukaleta jiwe.
 
Waje vijana RTS sio mafunzo ya Jkt imagine kombania ina watu 150 platoon watu 50 platoon3, kila platoon inashikiliwa na makamanda alafu ukute zile gogo zimelowekwa siku14 mwendo wa kipenga pyeee, pyeeee pyeeee mpaka monie ahaha Oljoro pagumu acheni ujinga
Hivi mchakamchaka kama huo na kwenye Kwata wanakabidhiwa silaha mapema kufanyia mazoezi katika six week za kwanza maana kwa jinsi tifu lilivyo kuruta hawapagawi mwanzoni kupelekea kuchomana singe kweli?
 
Mkuu waelezee na tifu la uwanja wa damu, hizo six weeks za mkesha tu ukisikia mtu anakuwa kichaa anavua hadi nguo maana yake siyo masikhara, Kuruta anaenda mabio ya alfajiri anakimbia huku amelala anavamia mti anapigiza kichwa anazimia [emoji16][emoji16]
Sasa kama kwa mujibu wengine tulikuwa tunakimbia huku tumelala kwenye mabio..hiyo RTS si ndio itakua balaa.[emoji28]
 
Back
Top Bottom