Lamentations
JF-Expert Member
- Mar 12, 2023
- 285
- 848
Kama kuna mtu anammbuyu wakukumbushwa ausalimie, yale maombi ya mwezi wa sita yanarudi . Sio ronja ni taarifa, jiko limeshika moto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye jeshi lipi kakaKama kuna mtu anammbuyu wakukumbushwa ausalimie, yale maombi ya mwezi wa sita yanarudi . Sio ronja ni taarifa, jiko limeshika moto.
Maombi gan tenaKama kuna mtu anammbuyu wakukumbushwa ausalimie, yale maombi ya mwezi wa sita yanarudi . Sio ronja ni taarifa, jiko limeshika moto.
Upo tanga sehemu ganiMaombi gan tena
Ni kweli kaka lakini muda na umri nao haukusubiri.Tusubiri mwakani
Chombo gani tena hiko mkuu au una maana ya JW.Kama kuna mtu anammbuyu wakukumbushwa ausalimie, yale maombi ya mwezi wa sita yanarudi . Sio ronja ni taarifa, jiko limeshika moto.
Hili nalo la kuzingatia
Hhahhahhaaa ila we jamaa weeeweeSisi tuliopitia mgambo mbona hamtujali ila kwenye kukamata walevi ndo mnajidai kutuita kisa mnaogopa manundu hii haipo sawa
Mkuu Kuna nn ten
Shukrani kwa lonja mkuu.Sijawahi kupita humu ila leo nawaachieni humu vijana
Mwezi 10 mwishoni kwa waliofanya usahili ule wa mtandaoni andaeni tu pesa za nauli uzuri kule sio Kama jakata vifaa vyote utapata ila andaa pesa ya emergence mwenyewe soksi za kutosha vingine utavikuta Usisahau kutuandalia na mwili.
Siwezi taja idadi ila aghalabu wale wa kwa Mujibu nao wamechukuliwa japokuwa ni wachache.
Kama una connection mwezi wa kumi ukianza anza kujipendekeza mapema ukiweza anza sahivi.
Watu wasipoenda nafuta account ya JF.
Kwaheri
Wakati wa mafunzo mwili ni mali ya wakufunzi wanaokufundisha wewe mali yako ni roho tuShukrani kwa lonja mkuu.
Alafu hii "Utaandalie na mwili" ulikua una maana gani hapa?.
Sent using Jamii Forums mobile app