Nafasi zimetangazwa 12 Utumishi interview tumeenda 8. Je, kuna uwezekano kweli wa kupata kazi wote au sheria ndo inafuata mkondo?

Msaada kwa wadau mwenye uzoefu au aliyewahi kukutana na situation hii
Government Haina double standard kama hamna aliyefika 50% then wote mtapigwa chini then itatangaza Tena hata mara mia itarudia mpaka impate in accordance with the law and standard regulations,

Kwenye interview hawatafuti accuracy kwenye your response what they want to is professional response, please respond like pro and not like students kwenye oral interview they want to validate your experience, kama huna experience lazima uonekane hata ujiamini vipi Tajiri nakuambia kama professional niliosaudia watu wengi na wamepata kazi serikalini au private, watu wengi wanajibu kama wanafunzi yaaani ukariri google unajibu kama lilivyo google mfano unaulizwa what are the perfects you have coordinated so far? Then unajibu kama google no way.

The main objective of oral interview is to validate the work experience you can cheat on written if you are smart you can cheat on practical if you are smart and you can never cheat on oral pale Maji na mafuta hujitenga
 
Government Haina double standard kama hamna aliyefika 50% then wote mtapigwa chini then itatangaza Tena hata mara mia itarudia mpaka impate in accordance with the law and standard regulations,

Kwenye interview hawatafuti accuracy kwenye your response what they want to is professional response, please respond like pro and not like students kwenye oral interview they want to validate your experience, kama huna experience lazima uonekane hata ujiamini vipi Tajiri nakuambia kama professional niliosaudia watu wengi na wamepata kazi serikalini au private, watu wengi wanajibu kama wanafunzi yaaani ukariri google unajibu kama lilivyo google mfano unaulizwa what are the projects you have coordinated so far? Then unajibu kama google no way, Kila mtu anapitia challenges zake and Kila mtuu na SWOT zake why juma na hamis na google wafanane 100% no way .

The main objective of oral interview is to validate the work experience you can cheat on written if you are smart you can cheat on practical if you are smart and you can never cheat on oral pale Maji na mafuta hujitenga
 
Makini sana bro
 
Ndio lazima ufikishe 50 percent kwnye oral interview. Kwanza juulize kwa nini nafasi zipo 12 na mmeitwa 8 hizo nyingine zitatangazwa kama ambavyo pia mkishindwa kufikisha hizo aslimia hamsini pia watatangaza.
Watu walioitwa ni 17 waliokuja interview ni 8 kazi yenyewe inataka watu 12
 
Kwenye interview Kuna Mambo mengi sana zinaangaliwa, tuliwahi kuitwa watu 13 nafasi 5 utumishi ila interview tunafanya 9 then akaitwa mmoja.

Hivyo Kuna mengi yanaangaliwa...pia Kuna interview tuliwahi kufanya mwaka 2014 taasisi moja private, nafasi 2 tulikua watu 6 ila tulikosa wote na matokeo tulipewa kila mtu pamoja na maswali ambayo hukuyajibu ipasavyo...baadae tena wakatangaza zile nafasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…