Isaack Newton
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 594
- 291
- Thread starter
- #41
Tz nzima wapo
Usifate mkumbo, hayo mambo ya "HALAFU USIKUTE" ni uvivu wa kufikilisha akili yako maana unachokiongea hakipo kwnye kampuni yetuHatari sana. Halafu usikute hakuna mambo ya kurudishiana nauli wala hela ya kujikimu. Na mwisho wa siku mtu anaikosa kazi