Nafazi za kazi kampuni ya Gardaworld

Nafazi za kazi kampuni ya Gardaworld

Kweli kabisa. Ni unyanyasaji mwanzo mwisho mfano Kuna kampuni la ulinzi Gardaworld( zamani kk security) aise Kuna jamaa zangu pale Kila mwisho wa mwezi wanalalamika mshahara unakatwa kuanzia elfu hamsini na kuendelea. Wakilalamika Kwa waajiri wao wanaambiwa waache kazi wapo wanaouhitaji huo mshahara na mazingira hayo ya kukatwa kiasi hicho bila sababu ya msingi. Kwa ujumla Tanzania ni kama kuku wa kienyeni tu utajua utakavyoishi. Mkipata muda mamlaka husika pitieni kwenye haya makampuni ya ulinzi hasa hasa kk security ya zamani na Sasa hivi ni Gardaworld.
 
80k mpaka 150k,,, ndo mishahara ya walinzi wa kampuni ! Tuna safari ndefu sana, huyu mtu ukute anatumia nauli kwenda kazini, ni mjini kapanga na ana familia ! Utaacha kugongewa mkeo kweli ?
Engonga aligonga wake 400+ wa vigogo na kuwarekodi! Sasa mke wa mlinzi kugongwa ajabu iko wapi?
Wewe angalia foleni ya wenye hela kwa hamisa mobeto. Ki naye kavunja kibubu. Hakuna ajabu kula mbususu mzabzab
 
Back
Top Bottom