Nafikiri Hawa Rappers 20 wa Bongo ndio bora kwa muda wote

Nafikiri Hawa Rappers 20 wa Bongo ndio bora kwa muda wote

20: Roma Mkatoliki

19: King Crazy GK

18: Inspector Haroun/Babu

17: Chid Benz

16: Joh Makini

15: Langa

14: AY/MASTA

13: Mwana FA/Binamu

12: Nick Mbishi

11: Faza Nelly

10: Ngwair/Mangwair/CowBama

9: Jay Moe/Mo Famous

8: Solo Thang

7: Balozi Do La Soul

6: KBC

5: Saigon

4: Afande Sele

3: Fid Q/ Farid Kubanda

2: Professor J/J wa mitulinga

1: Mr 2/ 2 Proud/ Sugu
List iko sawa
 
Hiyo list ni batili bila kuwepo kwa Nikk Wa Pili, kasikilize Kiujamaa, na Good Boy ndio utajua Weusi wanarap mziki unaopendwa na wengi ..hip-hop siku hizi ni biashara

Formula Moto zimelia ft Joh Makin, Ben & Jay Melody
 
Chidi Benz na Joh kuwa kwenye hizo namba ni dhambi kubwa sana umefanya

Sugu ni mkongwe but hakuwa rapper bora.
Pia kumuwema afande sele kama rapper bora ni utani tu. Afande ni muandishi mzuri but sio rapper mzuri. Afande sele naamini kwa uandishi hakuna anayemfikia

Kwa kwa rappers bongo hii hakuna anayemfikia chid beenz, namba mbili Nampa Ngwair.

Kumbuka huyo ndio mfalme wa rymes hadi leo
 
Nikazi ngumu sana kupanga list kama hizi
Lakini hata hivyo Nilitegemea pia kuwaona

Sir Nature aka Kiroboto
Babylon Bayser
Godzillah
Dizasta Vina

Sikutegemea kumuona
Crazy GK
Balozi
 
Chidi Benz na Joh kuwa kwenye hizo namba ni dhambi kubwa sana umefanya

Sugu ni mkongwe but hakuwa rapper bora.
Pia kumuwema afande sele kama rapper bora ni utani tu. Afande ni muandishi mzuri but sio rapper mzuri. Afande sele naamini kwa uandishi hakuna anayemfikia

Kwa kwa rappers bongo hii hakuna anayemfikia chid beenz, namba mbili Nampa Ngwair.
Unajua Sana mkuu
 
Nakuja na Uzi Wa rappers Bora 20...

Ngoja nikitulia jamaa kadanganya uma
 
ukitoa ulegend, Sugu ni overrated rapper. ukiweka battle na Nash MC/maalim Nash/ Shaban Nash Robert MC. Sugu anakalishwa vizuri tu
Nash yana Ngoma gani zilizopenya mtaani ndani ndani kabisa sugu? Sugu ana hit Kali kama Moto Chini, Deiwaka, hayakua mapenzi, kiburi na sugu...
Nitajie Ngoma za nashi... Bila maelezo
 
Nikadhani unaangalia uandishi, kama unaongelea kupenya mtaani, sugu hastahili kuingia top 10, watakaa hao rappers kama kina Joh makin, fid Q, Roma na wengine. Sugu hana ngoma iliyopenya kitaa ikakubalika kirahisi hivyo. Mim nazijua ngoma za sugu sababu namfatilia. ila kwa mtu anayesubiri asikilize mziki radioni, tusidanganyane hawezi kukutajia hata nyimbo 5 za sugu
Uko serious au unatania... Au we n mtoto wa 2000?
Sugu wakati anatoa Deiwaka ulikua umezaliwa?
Hizi hapa Ngoma za sugu zilizowahi kutamba vinginevyo utabisha kama umezaliwa 2000+

Wananiita Sugu, Kiburi, mambo ya fedha, Moto Chini, hayakua mapenzi na hapo zamani
 
Sugu hana ngoma iliyopenya kitaa ikakubalika kirahisi hivyo. Mim nazijua ngoma za sugu sababu namfatilia. ila kwa mtu anayesubiri asikilize mziki radioni, tusidanganyane hawezi kukutajia hata nyimbo 5 za sugu
Umezingua. Huna unalolijua kuhusu sugu.
 
Weka tamaduni kadhaa hapa man sema kama namba ulizowapa ndio usahihi kwa Mr II kukaa namba moja napinga nakumbuka tulikuwa na tape yake bongo dsm nadhani lakini ngoma za kawaida sana sisemi akose kwenye top 20 lakini kukaa namba moja sio kweli
 
Kila mtu na mtazamo wake lakini kwangu nikama ifuatavyo
1.J Mo
2.Fid Q
3.Magwer
4.Chid
5.Prof J
6.Langa
7.FA
8.Sugu
9.Balozi(Huyu ni mkali sana labda angetoa kazi nyingi angekuwa top)
10.Roma
 
Back
Top Bottom