Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante, kujenga habari nyingine..!!
Nikiangalia nyumba yangu, nashindwa kufanya maamuzi ya kuolewa. Najua mjuba akinizingua jioni akirudi hanikuti, ntakuwa nisharudi home sweet home 🤣🤣
Kitu gan nmekudanganya?wacha uongo sasa kama hujui vitu nyamaza
Unataka gari la million 5 amaMil5 unapata gari gan?
YeahUnataka gari la million 5 ama
watu hawasemi wanajua kwa maneno huwa tunaangalia vitendo, weka mchanganuo wa chumba kimoja na choo kimalize Milioni70?Kitu gan nmekudanganya?
Mi nnajua hizi mambo home tuna kampuni ya ujenz
Ilo litakutesa utashinda garage kuliko fundi we hii double iyo ela utapata gari nzuriYeah
😂😂😂 Ww sema unataka “ulisi” km shebbyNakupenda Lamony,naomba nikuwoe
Hawezi kuelewa hii,Unampa StressHiyo mil5 ni choo tu, ukitaka chumba kimoja ni mil 50, ukitaka chumba kimoja na choo andaa at least mil 70
huu ni uwongo, tafuta 50M halafu waone wataalam wakuoneshe aina ya nyumba unayoweza jenga, sio unakuja kuropoka tuLabda choo...ila nyumba yoyote hata iwe chumba kimoja...kwa dar andaa kuanzia mil50
🤣🤣🤣🤣Naomba niwe wako😂😂😂
Kuna mada za mizaha, mada kama hizi hazitaki mizaha. Kuna waty wakipita humu wanabeba na kujifunza vitu tofauti. Chumba self kwa 70m?Hiyo mil5 ni choo tu, ukitaka chumba kimoja ni mil 50, ukitaka chumba kimoja na choo andaa at least mil 70
We unazan consultancy tunatoa Bure?watu hawasemi wanajua kwa maneno huwa tunaangalia vitendo, weka mchanganuo wa chumba kimoja na choo kimalize Milioni70?
Ok 10M napata gar gan nzuri?Ilo litakutesa utashinda garage kuliko fundi we hii double iyo ela utapata gari nzuri
Si tulikubaliana watibeli hawakai kwenye nyumba za wanawake 😂😂😂Lazima tukusarandie mama mjengo hata kama nyumba yako ni ya mkopo🏃🏃
Tatizo binaadamu wa siku hizi ni wabishi sanaHawezi kuelewa hii,Unampa Stress
Nitafute wataalamu wapi wakati mi mwenyewe mtaalamu, biashara ya nyumbani iliyotukuza ni kampuni la ujenzhuu ni uwongo, tafuta 50M halafu waone wataalam wakuoneshe aina ya nyumba unayoweza jenga, sio unakuja kuropoka tu