Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kwani hukuonaga kile kibanda cha mlinzi cha 11 million 😂?watu hawasemi wanajua kwa maneno huwa tunaangalia vitendo, weka mchanganuo wa chumba kimoja na choo kimalize Milioni70?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hukuonaga kile kibanda cha mlinzi cha 11 million 😂?watu hawasemi wanajua kwa maneno huwa tunaangalia vitendo, weka mchanganuo wa chumba kimoja na choo kimalize Milioni70?
hapana kuna jamaa anajiita The dumb Professor huyo jamaa ana akili ni chizi pitia nyuzi zake uoneVijana mmeanza kudanganyana. Vyumba viwili milioni 50. Serious? Na mnachangiana hapa thread.
Kule hali ya hewa safi kama kwa madiba tu, utulivu mwingi.....pale barabara ikikamilika hapatashkika wala ardhi haitagusika kuleZamani ilikuwa laki 4 kipindi mzee ananunua mashamba uko, tulikuwa tunalima mahindi ujue..!!
Tena kulikuwa mapori watu walikuwa na mitambo ya kupika gongo uko.!! Kila mara polisi walikuwa wanawavamia wanawakamata…!!
Tuwekeze kwenye ardhi aiseee!!!
Mume ni unkwepable thing. Hiyo nyumba yako haikamiliki bila mume mzuri na watoto wazuri. Kakiingia kagiza unazagamuliwa unalala hoi.Bado nini niongeze.?? 😂😂
Kwani mtu akipanga akifa wanafantaje?Siku ya msiba watafunga turubai kwenye apartment au sio?
Miaka mitano ijayo kiwanja bila 20m hupatiKule hali ya hewa safi kama kwa madiba tu, utulivu mwingi.....pale barabara ikikamilika hapatashkika wala ardhi haitagusika kule
Mkuu ulikuepo kipindi cha watumwa? Mbn una mentality za kizamani....mi naona mwanamke awe na kwake na mm niwe na kwangu tukutane for purpose Yale maisha ya kuhemeana kila siku yashapitwa na wakatiMume ni unkwepable thing. Hiyo nyumba yako haikamiliki bila mume mzuri na watoto wazuri. Kakiingia kagiza unazagamuliwa unalala hoi.
Mkuu JF watu wanabadilika kulingana na mada husika😃wacha upumbavu mimi najenga Chumba kimoja na choo nije unfanyie consultant ofisini ya nini?
Halafu wewe jamaa ni liongo sana mara upo chuo mwalimu, mara kwenu mna kampuni mara Upigane na konda kisa 200, mara unasamamia biashara za demu wako mtoto wa kigogo mara demu wako malaya anajiuza puuu
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
Saiv hata nje ya mji huko nunua sehemu feka tulia mjini endelea kusaka kivngn baada ya 10yrs unakua mtu mwngn kbsMiaka mitano ijayo kiwanja bila 20m hupati
Hizo hela za kununulia gari nunua kiwanja kizuri, hela za sheli na bia nunulia matofali acha ushamba wa starehe.Kwani mtu akipanga akifa wanafantaje?
Nilijua tu utasema mume 🤣🤣🤣Mume ni unkwepable thing. Hiyo nyumba yako haikamiliki bila mume mzuri na watoto wazuri. Kakiingia kagiza unazagamuliwa unalala hoi.
Umeona winga mwenzangu?? Twenzetu kisijuSaiv hata nje ya mji huko nunua sehemu feka tulia mjini endelea kusaka kivngn baada ya 10yrs unakua mtu mwngn kbs
😂😂mkuuu hiki ni kipi huenda nilipitwa?Kwani hukuonaga kile kibanda cha mlinzi cha 11 million 😂?
Starehe zinatoka wapi sasa kwamba sitakiwi kuwa na gari na kukaa kwenye apartment kisa kujenga nyumbaHizo hela za kununulia gari nunua kiwanja kizuri, hela za sheli na bia nunulia matofali acha ushamba wa starehe.
daaah huyo kenge ni muongo.Mkuu JF watu wanabadilika kulingana na mada husika😃
Okay mkuu!Nyumba ya mwijaku ni bil 1.3, unashangaa self kuwa mil70?
Acha tu ndugu yangu, mambo ya ujenzi magumu sana.Watu wanakatisha tamaa kwa mizaha, mambo kwa ground ni tofauti
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Nanunua eneo hata ekari tano weekend nakua naenda na demu wangu kufyeka fyeka huko.....namvalisha surual nyeusi mabuti kofia na tishet mkononi kashika jambia😂😂😂kwa mbali naiangalia pisi yangu inavodeka shambaniUmeona winga mwenzangu?? Twenzetu kisiju