Nafikiri kijana anayejenga katika usawa huu anatakiwa apewe heshima yake

Nafikiri kijana anayejenga katika usawa huu anatakiwa apewe heshima yake

Acha kuongea vitu usivyovijua, kujenga ndiyo hobby yangu, kwasasa vifaa vimepanda bei maradufu.

Mafundi nao wameongeza michepuko, bei wanazosema siyo za nchi hii
mpumbavu mmoja, kujenga sio hobby kujenga ni professinalism. Tafuta maana ya hobby. Halafu next time usinilitee upuuzi wa kuingiza hoja za mafundi kuongeza michepuko kwenye mada kama hizi. Wajinga ni wengi sana humu siku hizi. na wewe ni mpuuzi mwingine.
 
mpumbavu mmoja, kujenga sio hobby kujenga ni professinalism. Tafuta maana ya hobby. Halafu next time usinilitee upuuzi wa kuingiza hoja za mafundi kuongeza michepuko kwenye mada kama hizi. Wajinga ni wengi sana humu siku hizi. na wewe ni mpuuzi mwingine.
dunia vituko haviishi😂😂😂😂nimecheka sana kumbe kujenga ishakuwa hobby 😂😂
 
Bananeni hapo Dar mpambane na gharama...Hapa Mtwara nyumba kali imesimikwa mifumo kibao ina vyumba vitatu jamaa katoa kwa mil 55...Ambayo kwa hapo Dar kodi unaweza kuchukua mpaka 500k na zaidi tena ikiwa uswazi
Kuna nyumba self contained huko Mbeya na Sumbawanga 30lmn na punguzo unapata.

Kujenga sio ghali kama.mnavyodanganya wenzenu
 
Back
Top Bottom