🤓 milioni 5 hata msingi haitoshi yooohKweli mkuu, ila kujenga nyumba ya M5 haiwezekani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤓 milioni 5 hata msingi haitoshi yooohKweli mkuu, ila kujenga nyumba ya M5 haiwezekani?
Acha kuongea vitu usivyovijua, kujenga ndiyo hobby yangu, kwasasa vifaa vimepanda bei maradufu.huu ni uwongo, tafuta 50M halafu waone wataalam wakuoneshe aina ya nyumba unayoweza jenga, sio unakuja kuropoka tu
Blaza una pesa ngapi? Huyu unamchukua na hati ya nyumba inaandikwa jina lako Sema unanipa sh ngp? Usilete ubahili wa makanyaLamony mwenye hatakubali ndio tabu itakapoanzia. Alafu nilichukua mali safi, nchi ndipo mtajua hamjui.
Mjiandae maana Jpm akasome
Ukweli vifaa vya ujenzi ni bei ghali lakini huwezi kujenga Chumba kimoja na Choo kwa Shilingi Milioni 70.Hiyo mil5 ni choo tu, ukitaka chumba kimoja ni mil 50, ukitaka chumba kimoja na choo andaa at least mil 70
Hizi akili za wapi?Labda choo...ila nyumba yoyote hata iwe chumba kimoja...kwa dar andaa kuanzia mil50
Kisa ananyumba siyo??Nakupenda Lamony,naomba nikuwoe
Consultacy?We unazan consultancy tunatoa Bure?
Njoo Pm au ofisini utapewa mchanganuo na bei na Kila kitu.
Tatizo mnajenga magodown🤓 milioni 5 hata msingi haitoshi yoooh
Kuna watu wanaonaga sifa Sana kutishia wenzao kuhusu ujenzkuna mtu kasema kujenga chumba na choo uandae M70.
Sisi Wahindi na Waarabu wa Kimbiji tunamchungulia kama Mafundi saa kwa kejeli zote tukivimba tu kwenye apartments.Starehe zinatoka wapi sasa kwamba sitakiwi kuwa na gari na kukaa kwenye apartment kisa kujenga nyumba
Si unamtimua tu? Kwanza mwenye akili hawezi kukaa kwako. Anyway usiwazie sana material things ni vitu vya kupita.Ahsante, kujenga habari nyingine..!!
Nikiangalia nyumba yangu, nashindwa kufanya maamuzi ya kuolewa. Najua mjuba akinizingua jioni akirudi hanikuti, ntakuwa nisharudi home sweet home 🤣🤣
Acha kutisha wenzio wewe.Hiyo mil5 ni choo tu, ukitaka chumba kimoja ni mil 50, ukitaka chumba kimoja na choo andaa at least mil 70
Ukiwasikiliza watu humu hutafanya chochote.Kuna watu humu mnapenda sifa za kijinga jinga sn, kutisha sn wenzenu kuhs ujenzi
Chumba kimoja chenye choo ndani mpk kinakamilika hakizid mil. 5 cash, Apo ni kila kitu kuanzia boma,finishing,umeme Hadi mifumo yote ya maji Safi na maji take.
Nikijenga Chumba na sebule chenye choo ndani uwa natumia mil 10, ata ikifeli haiwezi kuzidi laki 5 ya juu.
Nyie mnaotwambia habar za mil 50 chumba kimoja na sebule sijajua lengo lenu hasa Ni Nini humu jf.
Weee!! Mi nikiolewa naenda kuishi kwa mume hata km ana chumba kimoja, kwangu sifugi mtu.!!Si unamtimua tu? Kwanza mwenye akili hawezi kukaa kwako. Anyway usiwazie sana material things ni vitu vya kupita.
Msijenge ili muendelee kuwa Watumwa wetu sisi Baba mijengo [emoji38]Kuna watu humu mnapenda sifa za kijinga jinga sn, kutisha sn wenzenu kuhs ujenzi
Chumba kimoja chenye choo ndani mpk kinakamilika hakizid mil. 5 cash, Apo ni kila kitu kuanzia boma,finishing,umeme Hadi mifumo yote ya maji Safi na maji take.
Nikijenga Chumba na sebule chenye choo ndani uwa natumia mil 10, ata ikifeli haiwezi kuzidi laki 5 ya juu.
Nyie mnaotwambia habar za mil 50 chumba kimoja na sebule sijajua lengo lenu hasa Ni Nini humu jf.