Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Ndjo maana hatutakiwi kuoa mwanamke anayeishi nje ya wazazi wake ajili ya hii. Mnaona sasaAhsante, kujenga habari nyingine..!!
Nikiangalia nyumba yangu, nashindwa kufanya maamuzi ya kuolewa. Najua mjuba akinizingua jioni akirudi hanikuti, ntakuwa nisharudi home sweet home 🤣🤣