Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina nyumba in short sijajenga ila acha kututisha tafadhaliLabda choo...ila nyumba yoyote hata iwe chumba kimoja...kwa dar andaa kuanzia mil50
M50 inajenga nyumba sio vyumba mkuuHapo M50 unajenga nyumba tu,ila kama kijana anaanzA mkuu vyumba viwili na CHOO mkuu unaweza kutumia M50?
Sahii kabisa,Ukiwasikiliza watu humu hutafanya chochote.
50M ni unapata pagale ambalo halina finishing ya kueleweka ila unaweza ukakaa.. Hapo namaanisha vitu vote via msingi vinavyotakiwa ndani ya nyumba kama plumbing system, wiring system, tiles, aluminium windows, kitchen cabinets havipooAchen kutudanganya jaman au ndo mnatuogopesha ambaohatujajenga ml 50 ni nyumba na sio chumba hata kama ni wap. Sisi ma structure eng tunajua
Mkuu,Msijenge ili muendelee kuwa Watumwa wetu sisi Baba mijengo [emoji38]
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Ha ha ha.....[emoji2]He he he kweli miaka inasogea...wewe ni wa kumwambia mtu aachane na ki ATHLETE?
Sasa wewe si unasema kutetea biashara yako isikose wateja.Mkuu,
Mi nna biashara ya hardware,kwangu nmejenga na kila mwaka uwa najenga nyumba za kupangisha, nna uzoefu Sana na ujenzi, Watu waache kukuza haya Mambo.
Ujenzi sio mgumu kiivyo
-Bei ya cement ni Ile Ile mwaka wa 3 huu
-Bei za bati zimeshuka na Sasa zinaanza 350,000-650,000 kutegemea brand
-Viwanja bei ni Chee unachagua wewe size Yako.
-Bei za nondo ni zile zile mwaka wa 3 huu
-Aluminium bei hazijapanda
Ziko kiasi gani Kwa Sasa Kwa dilisha la futi 5*6?Acha uongo, aluminum zimepanda sana
Bado mwananguKumbe Shangazi wewe bado haujapigwa Pingu?
Haya sawa Shangazi,Bado mwanangu
14M iyo nyumb ina ukubwa gan?Nimetoka kufanya finishing January hii.. Tiles tu pekee zimenila 14M
Ingia jiji utakuta nyumba kali zinauzwa chini ya mil50..au kujenga ni ushujaa?50M ni unapata pagale ambalo halina finishing ya kueleweka ila unaweza ukakaa.. Hapo namaanisha vitu vote via msingi vinavyotakiwa ndani ya nyumba kama plumbing system, wiring system, tiles, aluminium windows, kitchen cabinets havipoo
Vijana wa bongo story zao, ukiwa na nyumba, mke na gari dunia hii umemaliza kila kituWekeza pesa utajenga tu...
50M ni unapata pagale ambalo halina finishing ya kueleweka ila unaweza ukakaa.. Hapo namaanisha vitu vote via msingi vinavyotakiwa ndani ya nyumba kama plumbing system, wiring system, tiles, aluminium windows, kitchen cabinets havipoo
Hiyo nyumba yako ni ya ukubwa gani igharimu tiles mil 14 bei ya tiles ni hizo nimeweka hqpo sasa ebu tupe majibu mqqnq wengine mnakuja humu kubrag wakati hamjawahi hata kumiliki banda la kukuNimetoka kufanya finishing January hii.. Tiles tu pekee zimenila 14M
142 Sqm14M iyo nyumb ina ukubwa gan?