jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Sizani Kama Serekali inaweza kukuruhusu Upeleleze kesi za Jinai, maana vitendea kazi vya Upelelezi wa Makosa ya Jinai vingi viko Serekalini!!Habari wadau..!
Nimekuwa nikawaza mda mrefu kufungua kampuni binafsi ya kufanya upelelezi na kutoa ulinzi wa VIP's yaani wale watu maarufu na familia zao kama Mo-Dewji ,Diamond n.k
Kampuni yangu pia itahusika katika kufanya upelelezi kwa watu binafsi na serikali na kukabidhi repoti kwa wateja wangu.
Mfano hivi karibuni kwenye suala la Hamza,kuungua kwa Soko na mambo mengine mengi ambayo Serikali imekuwa ikiangaika kuunda tume za kuchunguza ambazo zinaonyesha zinachelewa kutoa majibu kwa wakati Serikali inaweza kuipa kazi kampuni na kushughulikia suala hilo fasta na kutoa majibu.
Wasiwasi : Je ili suala linawezekana kwa hapa Tanzania??
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app