Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkeo ana umri gani?Kupiga nako kipaji mkuu.
Wewe mtu ana ujasiri wa kukufungulia rb polisi kwa mambo madogo mloshindwa kuelewana..yani anaenda kukulaza lockup mmewe kabisa?Aisee mwizi tena! Kumpiga bora nisepe tu mkuu hali ya mambo imebadilika sana tusije kuitwa wauwaji.
Jamaa mnyonge sana, kuna ndoa zinakufa sababu ya unyonge wa mwanaume, wanawake wa kiafrika wengi wanapenda rude boysUmemaliza mkuu jamaa ingawa wengi watasema mkatili ila sometime wanawake wanataka mapenzi ya uhuni uniceguy co mzuri kwenye mapenzi kwa nyakati zote tatzo jamaa ameshajihukumu et kwa sababu ya kipato ndio yote hay yamkute na yey yupo tu hata hachukui hatau yeyot anamwachia MUNGU ni kosa uyu Dem ni wakula nae sahani moja titi fo tati lazm ajielewe , wanaume tunapoteza haiba zetu za uwanaume
Wanaume tunakuwa wapole Sana tunaruhusu wanawake watutawale mkuu sikufichi chunguza ndoa nying za kitaa ambazo mwanaume co mnyonge job right za kutosha ya chembe na za mbavu wanawake huwa wanawaganda Sana wanaume wa aina hii kwnn sometime hat wao huwa hawapendi mwanaume mnyongeJamaa mnyonge sana,kuna ndoa zinakufa sababu ya unyonge wa mwanaume,wanawake wa kiafrika wengi wanapenda rude boys
Usipige mwanamke ka mmeshindwana achana nae bt ucje jaribu kumpigaDahh sawa nimekusoma lakini ujue hadi sasa ana RB kwamba nilienda kumfanyia fujo ofisini kwake wakati nilienda kuchukua pesa zangu nilizompa week kabla. Sasa kuepuka kesi za hivyo si boda nimsikilizie tu.
Mkuu baadhi ya wanawake wanaharibu radha ya ndoa. Kiukweli nikiachana nae huyu siowi tena.USIMUONEE HURUMA MWANAMKE.... Mwanamke mchukulie kama kijakazi tu kwako and YOU ARE THE KING!!
Mfalme akikosea hamuombi msamaha kijakazi.
Kijakazi akizingua anapewa onyo, akirudia makosa yake anatafutiwa mbadala wake instantly.
Hayo ndio maisha ya Alpha Males
Tafuta kwanza maisha mzee baba then utampata tu mwanamke atakae kuheshimishaMkuu baadhi ya wanawake wanaharibu radha ya ndoa. Kiukweli nikiachana nae huyu siowi tena.