Nafikiria kufanya maamuzi haya magumu japo naumia sana

Nafikiria kufanya maamuzi haya magumu japo naumia sana

Umemaliza mkuu jamaa ingawa wengi watasema mkatili ila sometime wanawake wanataka mapenzi ya uhuni uniceguy co mzuri kwenye mapenzi kwa nyakati zote tatzo jamaa ameshajihukumu et kwa sababu ya kipato ndio yote hay yamkute na yey yupo tu hata hachukui hatau yeyot anamwachia MUNGU ni kosa uyu Dem ni wakula nae sahani moja titi fo tati lazm ajielewe , wanaume tunapoteza haiba zetu za uwanaume
Jamaa mnyonge sana, kuna ndoa zinakufa sababu ya unyonge wa mwanaume, wanawake wa kiafrika wengi wanapenda rude boys
 
Ukiona mwanamke unaishi nae na kulala nae kitanda kimoja anakunyima unyumba jua kuwa kuna mume mwenzio nje anapewa unyumbe..Kitu nilichojifunza ni kuwa mwanamke hawezi kuvumilia kukaa na nyege kwa muda mrefu lazima atakuwa na mtu wa kumkaza.

Ni wito wangu kwako kuanza maisha mapya,ikiwa hujamuoa wewe jiongeze toka nenda katafute maisha ili uje kumfaa mwanao..afterall mmejuana tu ukubwani,mwanao ndio damu yako tu. Mtoto haezi kumkataa baba yake hata kama hataonana nae miaka 10.

MONEY POWER...Toka katafute kipato ili uje kupata heshima huko mbeleni.
 
Jamaa mnyonge sana,kuna ndoa zinakufa sababu ya unyonge wa mwanaume,wanawake wa kiafrika wengi wanapenda rude boys
Wanaume tunakuwa wapole Sana tunaruhusu wanawake watutawale mkuu sikufichi chunguza ndoa nying za kitaa ambazo mwanaume co mnyonge job right za kutosha ya chembe na za mbavu wanawake huwa wanawaganda Sana wanaume wa aina hii kwnn sometime hat wao huwa hawapendi mwanaume mnyonge
 
USIMUONEE HURUMA MWANAMKE.... Mwanamke mchukulie kama kijakazi tu kwako and YOU ARE THE KING!!

Mfalme akikosea hamuombi msamaha kijakazi.

Kijakazi akizingua anapewa onyo, akirudia makosa yake anatafutiwa mbadala wake instantly.

Hayo ndio maisha ya Alpha Males
Mkuu baadhi ya wanawake wanaharibu radha ya ndoa. Kiukweli nikiachana nae huyu siowi tena.
 
Back
Top Bottom