Nafikiria kufungua kesi ya Madai dhidi ya Lissu na Wenzie

Nafikiria kufungua kesi ya Madai dhidi ya Lissu na Wenzie

Ninaloongelea hapa ni swala la kisheria. Si hadithi! Unajua nashangaa watu wanaponi attack. Mimi si Serikali kujibu yu wapi? Nachosema Lissu alitamka. Waziri Mkuu nae akatamka. Naamini maelezo yapi hapo? Nani yupo karibu na Rais? Kati ya Lissu na Waziri Mkuu? Tena akatupa salamu zake.
Swala Rais yuko wapi litajulikana mahakamani. Kwanini nimesema nitaishitaki serikali, na jeshi la Polisi? Unajua watu wakiona nimeandika nitamshitaki Lissu wanakimbilia kwa ushabiki kuanza kutukana. Hawasomi nilichoandika hadi mwisho. Siwezi kuweka hapa kila kitu, Ila katika madai yangu yatajitokeza mengi, ambayo yatahitaji majibu. Na kwa kupitia hii kesi itaweza pia kusaidia kujua Rais yuko wapi?
Ila watu hawelewi wamejaa ushabiki ulio na upofu. Its a very technical issue ukisoma madai.

Ila watu kutokuwa na uelewa hawajui chochote wamekalia umuwezi lisu na kadharika. Ila kwa watu ambao ni makini na wanasheria watakuwa wamenielewa. Ndo kesi zingine uwezesha kutungwa kwa sheria mpya, au kuondolewa kwa sheria iliyopo. Kutokana na maamuzi yaliyofikiwa na jaji. Ili swala litazamwe kisheria zaidi si kiushabiki.

Mfano, katika kuishitaki serikali; Serikali inazuia utoaji wa habari usizokuwa na uhakika nazo. OK, Kwanin hili swala la Rais serikali imekaa kimya? Na kuacha habari zienee. Uoni kuwa serikali kwa namna nyingine ndo imechochea uvumi kuenea zaidi? Nini majukumu ya serikali? Kama inazuia usambazaji wa habari basi iwe makini kutoa habari ambazo jamii itaridhika nazo. Hasa kuhusiana na afya ya Rais.

Katika kuishitaki serikali nitaomba Mahakama kuiamuru serikali itangaze juu ya afya ya Rais. Ili kuondoa sintofahamu katika jamii. Na si hivyo tu bali Rais ajitokeze wazi walau atoe salamu live kama kweli yu mzima si mgonjwa. Make wamekana kusema hata kama ni mgonjwa.
Hivyo sifungui kesi kupata fedha wala umaarufu. Nafungua kesi ili tujue ukweli ni upi.
Nimekuwa muwazi kwako kutoa maelezo kwakua umeuliza kiustaarabu. Wengi hawelewi lengo la yale niliyoyaongelea. Wakisoma tu Lissu mizuka inapanda bila kujua naongelea nini? Wakati nimesema nashitaki serikali hadi polisi.
Utakapo fungua kesi kumbuka Rais Magufuli tayari ni marehemu na kwa maelezo ya Samia alipotangaza leo nikuwa ameugua kwa sikukadhaa
 
Baada ya kusoma taarifa alizozitoa Lissu katika vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa kuhusu afya ya Rais na hatimae kueneza taarifa kuwa Rais karejea kwa muumba, ilinisababishia mshituko mkubwa na kuleta tatizo kiafya:

Kwanza nilipata mshituko wa moyo ikizingatiwa Rais ni kiongozi wa nchi. Ni nembo ya Taifa. Hivyo naipenda nchi yangu. Na mnampenda Rais wangu.

Pili, Kutokana na uwasilishaji wa hiyo taarifa ya Lissu na wenzake katika Twitter. Walitumia maneno ya kashifa kwa kiongozi wa nchi. Hii ilileta usumbufu kwangu kwa baadhi ya watu huku niliko kutumia maneno ya Lissu na wenzie kumsema vibaya Rais. Hii ilishusha hadhi ya nchi yangu na kusababisha dharau na kejeli.

Lissu alisababisha jamii za watu tofauti kumwamini hivyo kujenga sura hasi kwangu kama Mtanzania. Niliathirika kisaikolojia.
Hivyo Lissu na wenzake wanawajibika katika kunisababishia maumivu ya moyo na kisaikolojia.

Nipo tayari kuwasilisha ushahidi wa daktari. Na wataalamu wa saikolojia.

Pia na jiandaa kuishitaki Serikali kwanini haijachukua hatua dhidi ya Lissu na wenzake waliosababisha habari hizi za uongo kuenea wakati wakijua Rais ni nembo ya Taifa. Kuumwa ni swala la kawaida. Lakini kwanini waeneze uongo na hata habari za kifo.

Je, walikusudia kuleta sintofamu katika nchi? Eti Polisi wanaenda kumkamata fundi wa simu. Nadhani wanatania. Ingieni huko Twitter muone kama ni huyo fundi kaeneza hz taarifa pekee. Source anaachwa.

Hivyo nitashitaki Jeshi la polisi kwa uzembe wakutochukua hatua na kuacha taarifa kusambaa wao wametulia tu na kuzua taharuki kwa jamii.
Fungua tu, maana wachochezi, na waongo
 
Duuuh! Hivi Lissu akiwa siyo Raia wa Tanzania hashitakiwi? Hivi Lissu akiwa asylum seeker wa Belgium hawezi shitakiwa? Niombe wanasheria na Chama cha sheria wajitahidi kuwa na makala ya sheria kwa kila wiki walau raia wengi wawe wanajua sheria na taratibu zake.
Pole sana. Angalau ungetumia muda wako kwa maombi labda tusinge fika hapa.
 
Endelea kufikiria wakati watu wameshaanza mipango ya mazishi.
Parapanda ishalia
 
Pole sana. Angalau ungetumia muda wako kwa maombi labda tusinge fika hapa.
Hao ni moja ya waliomsababishia mauti baba yao kwa kutumia mgongo wake kunyanyasa na kutesa watu.
Vilio siyo siri ni vingi vilivyotokana na wapambe wake. Wameleeta laana sana hawa.


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Baada ya kusoma taarifa alizozitoa Lissu katika vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa kuhusu afya ya Rais na hatimae kueneza taarifa kuwa Rais karejea kwa muumba, ilinisababishia mshituko mkubwa na kuleta tatizo kiafya:

Kwanza nilipata mshituko wa moyo ikizingatiwa Rais ni kiongozi wa nchi. Ni nembo ya Taifa. Hivyo naipenda nchi yangu. Na mnampenda Rais wangu.

Pili, Kutokana na uwasilishaji wa hiyo taarifa ya Lissu na wenzake katika Twitter. Walitumia maneno ya kashifa kwa kiongozi wa nchi. Hii ilileta usumbufu kwangu kwa baadhi ya watu huku niliko kutumia maneno ya Lissu na wenzie kumsema vibaya Rais. Hii ilishusha hadhi ya nchi yangu na kusababisha dharau na kejeli.

Lissu alisababisha jamii za watu tofauti kumwamini hivyo kujenga sura hasi kwangu kama Mtanzania. Niliathirika kisaikolojia.
Hivyo Lissu na wenzake wanawajibika katika kunisababishia maumivu ya moyo na kisaikolojia.

Nipo tayari kuwasilisha ushahidi wa daktari. Na wataalamu wa saikolojia.

Pia na jiandaa kuishitaki Serikali kwanini haijachukua hatua dhidi ya Lissu na wenzake waliosababisha habari hizi za uongo kuenea wakati wakijua Rais ni nembo ya Taifa. Kuumwa ni swala la kawaida. Lakini kwanini waeneze uongo na hata habari za kifo.

Je, walikusudia kuleta sintofamu katika nchi? Eti Polisi wanaenda kumkamata fundi wa simu. Nadhani wanatania. Ingieni huko Twitter muone kama ni huyo fundi kaeneza hz taarifa pekee. Source anaachwa.

Hivyo nitashitaki Jeshi la polisi kwa uzembe wakutochukua hatua na kuacha taarifa kusambaa wao wametulia tu na kuzua taharuki kwa jamii.
Sawa Mkuu fungua ,weka account namba tuchnge michango ya kumchangia wakili wako.
 
Baada ya kusoma taarifa alizozitoa Lissu katika vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa kuhusu afya ya Rais na hatimae kueneza taarifa kuwa Rais karejea kwa muumba, ilinisababishia mshituko mkubwa na kuleta tatizo kiafya:

Kwanza nilipata mshituko wa moyo ikizingatiwa Rais ni kiongozi wa nchi. Ni nembo ya Taifa. Hivyo naipenda nchi yangu. Na mnampenda Rais wangu.

Pili, Kutokana na uwasilishaji wa hiyo taarifa ya Lissu na wenzake katika Twitter. Walitumia maneno ya kashifa kwa kiongozi wa nchi. Hii ilileta usumbufu kwangu kwa baadhi ya watu huku niliko kutumia maneno ya Lissu na wenzie kumsema vibaya Rais. Hii ilishusha hadhi ya nchi yangu na kusababisha dharau na kejeli.

Lissu alisababisha jamii za watu tofauti kumwamini hivyo kujenga sura hasi kwangu kama Mtanzania. Niliathirika kisaikolojia.
Hivyo Lissu na wenzake wanawajibika katika kunisababishia maumivu ya moyo na kisaikolojia.

Nipo tayari kuwasilisha ushahidi wa daktari. Na wataalamu wa saikolojia.

Pia na jiandaa kuishitaki Serikali kwanini haijachukua hatua dhidi ya Lissu na wenzake waliosababisha habari hizi za uongo kuenea wakati wakijua Rais ni nembo ya Taifa. Kuumwa ni swala la kawaida. Lakini kwanini waeneze uongo na hata habari za kifo.

Je, walikusudia kuleta sintofamu katika nchi? Eti Polisi wanaenda kumkamata fundi wa simu. Nadhani wanatania. Ingieni huko Twitter muone kama ni huyo fundi kaeneza hz taarifa pekee. Source anaachwa.

Hivyo nitashitaki Jeshi la polisi kwa uzembe wakutochukua hatua na kuacha taarifa kusambaa wao wametulia tu na kuzua taharuki kwa jamii.
nenda kawashitaki Mataga kwa kuchelewa kutangaza msiba
 
Ninaloongelea hapa ni swala la kisheria. Si hadithi! Unajua nashangaa watu wanaponi attack. Mimi si Serikali kujibu yu wapi? Nachosema Lissu alitamka. Waziri Mkuu nae akatamka. Naamini maelezo yapi hapo? Nani yupo karibu na Rais? Kati ya Lissu na Waziri Mkuu? Tena akatupa salamu zake.
Swala Rais yuko wapi litajulikana mahakamani. Kwanini nimesema nitaishitaki serikali, na jeshi la Polisi? Unajua watu wakiona nimeandika nitamshitaki Lissu wanakimbilia kwa ushabiki kuanza kutukana. Hawasomi nilichoandika hadi mwisho. Siwezi kuweka hapa kila kitu, Ila katika madai yangu yatajitokeza mengi, ambayo yatahitaji majibu. Na kwa kupitia hii kesi itaweza pia kusaidia kujua Rais yuko wapi?
Ila watu hawelewi wamejaa ushabiki ulio na upofu. Its a very technical issue ukisoma madai.

Ila watu kutokuwa na uelewa hawajui chochote wamekalia umuwezi lisu na kadharika. Ila kwa watu ambao ni makini na wanasheria watakuwa wamenielewa. Ndo kesi zingine uwezesha kutungwa kwa sheria mpya, au kuondolewa kwa sheria iliyopo. Kutokana na maamuzi yaliyofikiwa na jaji. Ili swala litazamwe kisheria zaidi si kiushabiki.

Mfano, katika kuishitaki serikali; Serikali inazuia utoaji wa habari usizokuwa na uhakika nazo. OK, Kwanin hili swala la Rais serikali imekaa kimya? Na kuacha habari zienee. Uoni kuwa serikali kwa namna nyingine ndo imechochea uvumi kuenea zaidi? Nini majukumu ya serikali? Kama inazuia usambazaji wa habari basi iwe makini kutoa habari ambazo jamii itaridhika nazo. Hasa kuhusiana na afya ya Rais.

Katika kuishitaki serikali nitaomba Mahakama kuiamuru serikali itangaze juu ya afya ya Rais. Ili kuondoa sintofahamu katika jamii. Na si hivyo tu bali Rais ajitokeze wazi walau atoe salamu live kama kweli yu mzima si mgonjwa. Make wamekana kusema hata kama ni mgonjwa.
Hivyo sifungui kesi kupata fedha wala umaarufu. Nafungua kesi ili tujue ukweli ni upi.
Nimekuwa muwazi kwako kutoa maelezo kwakua umeuliza kiustaarabu. Wengi hawelewi lengo la yale niliyoyaongelea. Wakisoma tu Lissu mizuka inapanda bila kujua naongelea nini? Wakati nimesema nashitaki serikali hadi polisi.
Uke utuambie wewe unayeamini matamko wa waongo wa CCM kati ya Lissu na Majaliwa nani anatakiwa kushtakiwa.
 
Back
Top Bottom