Nafikiria kutafuta mchepuko, tendo la ndoa na mke wangu limekuwa adimu

Hapana mkuu we live every day we die once
 
Mm imeka
za mwaka na siku kama 10 aliambiwa ni a mchepuko shamba nikakaza kama miei mitatu nikasema isiwe tabu nikakiri ndo basi hadi ninapoandika sasa a nimeupokea usbauri wako wa ha nijicjukulie asiye na hii changamoto
 
Unagongewa na wahuni,chunguza vizuri tu utanishukuru baadaye...wanawake wanapenda mapenzi kuliko sisi hasa pale wanapokua na mtu wanayempenda...sasa wiki nzima hupewi hapo kuna shida
 
tupe mrejesho
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu hauna house girl? Mimi nilikuwa na mwehu kama mke wako kila siku kachoka kumbe alikuwa anatoa mbwa nje. Nikawa nakula house girl kila siku tena usiku yeye anajidai kulala house girl anaosha vyombo mimi najidai kumwagilia maji maua kumbe najitombea tu kila siku. Kimbembe akaja kusema ana mimba ndugu ukisikia kuchanganyikiwa hapa dunia
 
Mkuu hauna house girl? Mimi nilikuwa na mwehu kama mke wako kila siku kachoka kumbe alikuwa anatoa mbwa nje. Nikawa nakula house girl kila siku tena usiku yeye anajidai kulala house girl anaosha vyombo mimi najidai kumwagilia maji maua kumbe najitombea tu kila siku. Kimbembe akaja kusema ana mimba ndugu ukisikia kuchanganyikiwa hapa dunia
 
Mkuu hauna house girl? Mimi nilikuwa na mwehu kama mke wako kila siku kachoka kumbe alikuwa anatoa mbwa nje. Nikawa nakula house girl kila siku tena usiku yeye anajidai kulala house girl anaosha vyombo mimi najidai kumwagilia maji maua kumbe najitombea tu kila siku. Kimbembe akaja kusema ana mimba ndugu ukisikia kuchanganyikiwa hapa dunia
 
Ikawajew mkuu????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Naona unapenda ngono sana? Unafikiri kwanini Mungu hakumpa Adam mke zaidi ya mmoja? Amri kuu ya ndoa ndiyo inaanzia hapa. Hao wanawake wawili ni kuhalalisha uzinzi na usherati
Nani kakwambia Mungu alimpa Adam mke???🤔
 
Badili mazingira siku nyingine laleni hata hotel
Au msafiri pamoja
Hivi na kumbaka huwezi si mali yako hiyo mkuu
Mtu atafute hela ya kula
Hela ya pango
Hela ya madela
N.k
N.k

Mpaka hela ya hotelini????
Aseeeee wanaume wa sasa mnapitia kipindi kigumu.

Sisi enzi hizo unashtukia mkeo kashtaki kwa mjumbe kisa siku hizi hajui unakula wapi?
 
Ila hizi ndoa za siku hizi ni changamoto sana. Msingi wa ndoa ni tendo la ndoa nahisi wanawake wengi hawajui msingi wa ndo unapomnyima mwenzio tendo sijui unategemea nini. Mwisho wa siku ndoa itaharibika tu. Hakuna mwanaume mwenye uwezo wa kuvumilia mwezi 1 bila kusex
 
Tulikwambiaga ni suala la muda ukajifanya unampenda sana mkeo, Nyege hazinaga Mbabe chief...Haya sogea kwa mwenyekiti hapo akusainie kadi ya uwanachama wa mabaharia [emoji74]
[emoji23][emoji1787][emoji23] harudi nyumbani kumenoga [emoji1787][emoji23][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…