Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Pole sana kaeni chini uongee naye kwa kina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uelewa unatofautiana
pasaka njema mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Very happy and friendly, ila ikifika saa 3 usiku ndio namsikia akisema , " baby nimechoka na kichwa kinauma" huyoo anaenda kitandani, hapo najua basi tena
Hapana mkuu we live every day we die onceAcheni kuchosha wanaume, daily mna kisa na sababu! Mtu kaacha wanawake woote kakuoa, still kwenye ndoa aendelee kuhangaika daily kutafuta pipi kijiti, chokoleti, sijui magauni hata kama hana hela ili tu apewe papuchi ambayo ameilipia mahali na kuamin angekula had kushiba.
Kwa vile mtu hataka kukupa kei una andaa lak na 70 kumpeleka hotel walau yenye chumba kizuri, mafuta umeweka ya 50,000 vyakula na vinywaji pale ndani 70,000
Just lak 3 imeondoka kwa siku moja kwa kugharamia kei ya mkewe na mkirud nyumban next day anarejea tabia yake.
Mkuu ushauri wangu ni huu
Usitake kumridhisha mwanamke kwa kila atakavyo hutaweza na ni vigeu geu, leo utampa hiki na kile atafurahia sana ipo siku utakuja na hicho hicho ukanuniwa sanaaa.
Pili mwanamke anaeumiza hisia ni yule uliyekuwa unafanya kila atakacho tena muda mwingine zaidi ya uwezo wako, mzaz kijijin umemnyima elf 30 ya shamba ukampa laki mmoja umpendae siku akikuacha utakumbuka matukio kama haya na yanaumizaga mno mno.
La muhimu ishi nao easy not to the maximum.
Toka enzi na enzi za wazee wetu walikuwa na michepuko eti sisi tuliozaliwa juzi tunakuja na ukisasa na kujifanya tunabadili kila tulichokikuta mwisho wa siku tunatembea njian huku tukiongea peke yetu na baadhi kufa mapema sabab ya ndoa.
We live once, ukichagua chungu ujue ndo imetoka tamu unayosubir utaiona huko tunakokufa
Sent using Jamii Forums mobile app
za mwaka na siku kama 10 aliambiwa ni a mchepuko shamba nikakaza kama miei mitatu nikasema isiwe tabu nikakiri ndo basi hadi ninapoandika sasa a nimeupokea usbauri wako wa ha nijicjukulie asiye na hii changamotoWanawake huwa wanatikisa kibiriti, mke wangu was like that. Usipomuanza hata week mbili zinaisha bila sex.
For sure I am addicted na sex so Siku tatu kwangu ulikuwa msiba wa nyegezi kuvuka ukomo.
Nikapata ushawishi wa anko shetty nikatafuta mchepuko nilikaa three months respectively sijamgusa Siku alianza kulalamika wewe sio bure utakuwa unamwanamke. Simply tu nilimuuliza kwa nini unahisi hivyo akasema sio kawaida yako nikihesabu tangu last we had sex is almost three months. Nilimwambia sikutaka nikusumbue maana niliona kama unachoka sana kazini hivyo nilikuwa nasubiri Siku ukisikia hamu uniambie ila sina mchepuko.
Hakuamini alilamika sana Siku ile mpaka I felt guilty. Though nilikuwa tayari nimeshakuwa na michepuko kama mitatu hivi hivyo issue ya kulala na nyegezi kwangu ilikuwa historia.
Baadae nikaona isiwe kesi dini inaniruhusu ngoja nivute wa pili. Hapo ndio niliona raha ya ndoa Kwenye suala zima la sex. Nikienda zamu upande wowote hakuna ninayemuanza bali wao ndio wanaanza basi nitakamuliwa mpaka tone la mwisho .
Ila bado ninachepuka . Kwa kesi ya mke wako kinachotokea ni mazoea tu huku akiamini she is one and only kutokana na mkataba wa ndoa yenu na kanisa. Ila kungekuwa na chance kama huku kwetu angebadilika tu.
Kama unaweza na wewe jaribu kukaza zipite hata week mbili usimguse uone kama hajaanza kulia wivu.
Unagongewa na wahuni,chunguza vizuri tu utanishukuru baadaye...wanawake wanapenda mapenzi kuliko sisi hasa pale wanapokua na mtu wanayempenda...sasa wiki nzima hupewi hapo kuna shidaWana jamvi salaam,
Naona huyu shemeji yenu majukumu ya chumbani yamemshinda, kwa wiki tendo mara 1 au 2 au 3 hapo kajitahidi (tena kila wakati mimi ndio nakumbushia, yeye wala), siku nyingine inapita wiki 1 hadi siku kumi.
Ukiishi na mke ndani ndio utaelewa kwanini Waisilamu waliambiwa wake 4 ruksa, hapa ningekuwa na mke wa 2, nisingekuwa naangalia dari juu usiku huu.
Tena hapa hatuna mtoto hivi je akizaliwa katoto si nitapigwa benchi mazima.
Nilikuwa nawashangaa wanaume wanaochepuka, ila leo naelewa kuwa sometimes wake zao ni moja ya sababu.
Huwa najitahidi kuepuka vishawishi nje ya ndoa ila sasa naona soon yatanishinda.
Real Confession :
Kwa wiki 3 sasa nimemkumbuka my ex girlfriend aisee hadi namuota kila siku , it has been 6 years toka tuachane ila nikiri tulikuwa na « a very good chemistry together on bed »
tupe mrejeshoWana jamvi salaam,
Naona huyu shemeji yenu majukumu ya chumbani yamemshinda, kwa wiki tendo mara 1 au 2 au 3 hapo kajitahidi (tena kila wakati mimi ndio nakumbushia, yeye wala), siku nyingine inapita wiki 1 hadi siku kumi.
Ukiishi na mke ndani ndio utaelewa kwanini Waisilamu waliambiwa wake 4 ruksa, hapa ningekuwa na mke wa 2, nisingekuwa naangalia dari juu usiku huu.
Tena hapa hatuna mtoto hivi je akizaliwa katoto si nitapigwa benchi mazima.
Nilikuwa nawashangaa wanaume wanaochepuka, ila leo naelewa kuwa sometimes wake zao ni moja ya sababu.
Huwa najitahidi kuepuka vishawishi nje ya ndoa ila sasa naona soon yatanishinda.
Real Confession :
Kwa wiki 3 sasa nimemkumbuka my ex girlfriend aisee hadi namuota kila siku , it has been 6 years toka tuachane ila nikiri tulikuwa na « a very good chemistry together on bed »
tupe mrejesho
Kwahiyo unanisaidiaje mkuu?[emoji848]Unataka akupe dawa gani tatizo ni mbahili wewe ndio maana ukitoa pesa yako nyege zinakata
Mzee swala la michepuko sio la kutafuta huruma za watu ili ulitekeleze .
Wanaume tujifunze kujipenda kwanza sisi ....acheni kuwa watumwa wa kifikra na kuendeshwa na wanawake.
Mwanaume simamia furaha yako ilipo. Haya mambo ya kutangulia kufa kabla ya wanawake ni uboya.
Haiwezekani eti kisa mwanamke hapendi kwa sababu zake au ujinga wake binafsi eti na wewe inakuumiza na kuanza kujiliza Liza.
Mwanaume andaa mtoko alike mke hataki piga chini tafuta papuchi nyingine ya kula nayo Bata huko uendako.
Mwanamke hataki kupika rudi umevimbiwa unabeua tu harufu za minofu na stick mdomoni .
Mwanamke hataki gemu poa wewe ji rudie home tu ushajichakatia kipochi Cha mtu huko vibao vya kutosha ukifika home vuta shuka lala usiwasumbue watu wana mambo mengi wanafikiri[emoji1787][emoji1787]
Mwanaume ishi maisha yako
Sent from my TECNO F2LTE using JamiiForums mobile app
Wewe muache achepuke kama ndiyo suluhishoOngea naye kwanza kabla hujachukua maamuzi haya hatari..ongea naye kwa utulivu na upendo kisha zijali hisia zake
Ikawajew mkuu????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hauna house girl? Mimi nilikuwa na mwehu kama mke wako kila siku kachoka kumbe alikuwa anatoa mbwa nje. Nikawa nakula house girl kila siku tena usiku yeye anajidai kulala house girl anaosha vyombo mimi najidai kumwagilia maji maua kumbe najitombea tu kila siku. Kimbembe akaja kusema ana mimba ndugu ukisikia kuchanganyikiwa hapa dunia
Nani kakwambia Mungu alimpa Adam mke???🤔Naona unapenda ngono sana? Unafikiri kwanini Mungu hakumpa Adam mke zaidi ya mmoja? Amri kuu ya ndoa ndiyo inaanzia hapa. Hao wanawake wawili ni kuhalalisha uzinzi na usherati
Mtu atafute hela ya kulaBadili mazingira siku nyingine laleni hata hotel
Au msafiri pamoja
Hivi na kumbaka huwezi si mali yako hiyo mkuu
[emoji23][emoji1787][emoji23] harudi nyumbani kumenoga [emoji1787][emoji23][emoji1787]Tulikwambiaga ni suala la muda ukajifanya unampenda sana mkeo, Nyege hazinaga Mbabe chief...Haya sogea kwa mwenyekiti hapo akusainie kadi ya uwanachama wa mabaharia [emoji74]