Nafsi inatamani lakini mwili unanikataa, wenye miaka 33 ama zaidi mnaenda raundi tatu bila kujilazimisha?

Kwa hiyo inawezekana au haiwezekani? Tuweke sawa hapo kwanza
Inawezekana kufanya after cuddling kwa kila bao km muhusika yupo willing na anakupa ushirikiano km hayupo willing na hakupi ushirikiano unaweza ukaishia bao 1 tu kwa hio cha kuzingatia ni muhusika maana mkata umeme ni muhusika ulienae je anawasha umeme wako wa Mwili I mean anakuamsha amsha anakugusa hapa na pale kissing za hapa na pale au anazima umeme akizima umeme yaan asipokupa ushirikiano kufika 3 ni impossible haufiki labda utaishia 1 umelazimisha sana 2 maana atakulazimisha umalize haraka amechoka vilio vilio vya kuchoka vikiwa vingi stimu zinakata unaacha huendelei
 
NAKAZIA

Ukitombana na manzi yuko na high sex drive, yuko horny, ana ushirikiano, unajua kumnyegesha na anakuelewa sex ni tamu sana. Kupiga bao 3 na kuendelea kawaida sana
Sasa ni mpaka umpate wa hivyo wengi ni Vimeo ukipiga 1 ukiongeza 2 anakwambia imetosha ndio mwisho hapo amechoka hataki tena muendelee hata km bado mnara unasoma yeye hataki kuendelea unafanyaje unakubari tu kishingo upande, kuna ile ya mnafanya usiku mzima mechi inachezwa tu unapiga mabao unlimited wewe tu na pumzi yako piga unavyoweza ukimaliza unaulizwa unataka tena ukijibu ndio unapewa tena kingine alafu asubuhi unaamsha kitandani kimoja cha hamu mkimaliza story kidogo za hapa na pale hao mnaenda kumalizia bafuni kimoja kingine huko unaenda kujimaliza kabisa ukimaliza mnaoga fresh na ndio siku imeisha hio, bahati hio isikukute Ila uwe na pumzi na mapafu haswa na uwe umeshiba sio unacheza ukiwa na njaa njaa zako utafeli vibaya na utahaibika Mwanaume gani huna nguvu
 
anafanywa bila kutaka😃😃
 
Kweli mkuu huu umri vishawishi ni vingi mno alafu damu inachemka vilivyo na nguvu zipo, usipojua kujicontrol ni rahisi sana kujikwaa na ukabaki na majuto for the rest of your life.
Mkuu nikiwa na miaka 21 hadi 28 nilitafuna mbususu nyingi mno. Ubaya ni kwamba sikuwa na mpenzi permanent. Nilikuwa natafuna wanaouza na wanaopatikana kirahisi. Huwa najiambia kuwa Mungu bado ana mipango na mimi kiumbe wake kwasababu kwa hiyo miaka nilikuwa najua chimbo zote za madadapoa Arusha, Nairobi na kidogo Dar. Nayashukuru sana makampuni ya Condom.
 
silaha ni muhimu sana wanasema bora kinga kuliko tiba, kwenye umri huo vijana wengi ni sikio la kufa kwenye mapenzi, hakuna atakaloshauriwa akalielewa kirahisi mpaka yamkute ndio anakubali kubadilika. Binafsi kwa hali ya hizi generation zetu kondom n muhim sana.
 
Kweli mkuu. Mimi niliacha kwasababu kuna siku nilibeba jimama kahaba mwandamizi. Tukiwa chumbani alinipa ushauri mzito sana kwamba kwanini kijana mdogo unataka kujiangamiza? Akaendelea kusema kuwa kashangaa sana kuniona niko kwenye ile bar nabeba kahaba. Yule dada alinipa tamu kwa bei elekezi na kunisihi nisiende kabisa pale na wala nisiendelee na ishu za uzinzi. Ni kahaba aliyeniahauri nitafute binti wa umri wangu aliyetulia nioane nae. Ingawa sikuacha ghafla lakini ilifika muda nikaacha upuuzi. Yule jimama namshukuru sana kwa kubadilisha maisha yangu.
 
Mara nying ukiona unaenda gol nying bujue mwanamke wako haridhik... Tafakar utanielewa.. na mara nying huwa ni jogoo..

Huwez round ya kwanza tumia dk 50 halaf tena upige la pili la tatu .. ukiweza mchosha mwaanamke cha kwanza.. ukapiga inavyotakiwa.. hawez hata hitaj cha pili...

Chukua hatua ndugu... Piga goli 1 dk 50.. plus fore play dk 15... Uone kama atahitak hilo la pili.
 
Kimsingi kula ushibe vizuri kabla ya mechi,fanya sex na mwanamke anayekuvutia ukimwangaloa hakika utataka kurudia ukimaliza cha kwanza
 
Mimi nina 19 goli la 3 siendi acheni kujichosha,

Fanyeni vitu vya msingi
huyu akamatwe haraka aje anyooshe maelezo vizuri hili halikubaliki kwa 19yo. maana km hauna shida ya kiafya kwa umri huo:

-ww ni kula kulala tu na kujaza mafuta mwilini na chooni

-hakuna mawazo ya leo utakula nini

-hakuna mawazo ya mkopo kaushadamu wala kikoba haukijui
 
Kila round unachukua dkk ngapi?
 
Kama kwenye umri huo mdogo unakumbana na tatizo la nguvu za kiume......wewe utakuwa una tatizo la ki afya....... mwanaume ukiwa unajitunza hata miaka 70 unapiga mashine fresh kabisa......miaka 50 Bado kabisa kijana......


Kinachowaangamiza vijana ni life style mbovu......mipombe, mivyakula mibovu, matumizi makubwa ya dawa za kuongeza nguvu za kiume.....kijana wa miaka 40 unakuta ameshachoka hoi........

Mwili unajengwa Kwa vyakula vyenye afya na virutubisho......tuzingatie sana tunavyokula.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…