Naftar Benet: Tutaigawa Iran vipande elfu kwa miaka hamsini, jibu letu litakuwa kali na chungu

Naftar Benet: Tutaigawa Iran vipande elfu kwa miaka hamsini, jibu letu litakuwa kali na chungu

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Waziri mkuu wa zamani wa Israel Naftari Bennet amesema kuwa zamani Biden alisema acheni kwanza sasa amesema pambaneni tuko nyuma yenu hivyo tunachagua pakuanzia viwanda vya uchimbaji mafuta,nyuklia ,kambi za jeshi au makazi ya viongozi, kutakuwa na machungu makali na vilio.

Waziri huyo anayeona kuwa Benjamin Netanyahu hawajibiki sana kulipiza kisasi anaona kuwa wataifuta Iran kwa vipande Elfu kumi na itachukua miaka hamsini kujijenga .

USSR
 
Iran wananchi wamekuwa na hofu kubwa sana. Tuombe Mungu maana moto mkali wa Satellite Laser Weapons nyingi utachoma kila kitu huko Iran..!! Yaani ni moto mkali sana toka angani, hadi naogopa, naona kama Ayatollaah kakosema kurusha missiles kulekea Israel, maana katangaza vita kamili..!! Naona hatari kubwa sana, Iran imefanya kosa kubwa kuanzisha vita rasmi na Israel, maana muda wote Israel ilikuwa inapigana wana mgambo wa Iran, sasa Iran kaingia kichwa kichwa mwenyewe, moto wake utakuwa historia
 
Muiran baada ya kusikia tamko hili
FB_IMG_1726737726228.jpg
 

View: https://youtu.be/nkAUAOKbsvI?si=PbtRHvryMHCkdcKs

Yemen's Houthis targeted military posts deep in Israel with three 'Quds 5' cruise missiles, spokesperson Brigadier General Yahya Saree said on Oct 2. Saree also said that “Yemeni Armed Forces bless the second Iranian operation, the True Promise 2, against the Israeli enemy.” The reported attack came as Iran fired nearly 200 missiles at Israel on Oct 1 to avenge the killing of Hamas leader Ismail Haniyeh and Hezbollah chief Hassan Nasrallah.
 
Iran wananchi wamekuwa na hofu kubwa sana. Tuombe Mungu maana moto mkali wa Satellite Laser Weapons nyingi utachoma kila kitu huko Iran..!! Yaani ni moto mkali sana toka angani, hadi naogopa, naona kama Ayatollaah kakosema kurusha missiles kulekea Israel, maana katangaza vita kamili..!! Naona hatari kubwa sana, Iran imefanya kosa kubwa kuanzisha vita rasmi na Israel, maana muda wote Israel ilikuwa inapigana wana mgambo wa Iran, sasa Iran kaingia kichwa kichwa mwenyewe, moto wake utakuwa historia
Ficha ujinga wako.
 
Back
Top Bottom