Naftar Benet: Tutaigawa Iran vipande elfu kwa miaka hamsini, jibu letu litakuwa kali na chungu

Naftar Benet: Tutaigawa Iran vipande elfu kwa miaka hamsini, jibu letu litakuwa kali na chungu

Waziri mkuu wa zamani wa Israel Naftari Bennet amesema kuwa zamani Biden alisema acheni kwanza sasa amesema pambaneni tuko nyuma yenu hivyo tunachagua pakuanzia viwanda vya uchimbaji mafuta,nyuklia ,kambi za jeshi au makazi ya viongozi, kutakuwa na machungu makali na vilio.

Waziri huyo anayeona kuwa Benjamin Netanyahu hawajibiki sana kulipiza kisasi anaona kuwa wataifuta Iran kwa vipande Elfu kumi na itachukua miaka hamsini kujijenga .

USSR
Kwa hili Israel wanaweza kufanikiwa kuigawa Iran katika vipande vipande, uwezekano huo upo mkubwa sana kwa sababu wapo raia wa Iran wengi Sana kwa chinichini wanaiunga mkono Israel, Marekani pamoja na washirika wao.
Yeye na shoga yake Netanyahu A.K.A Isha Mashauzi wa Middle East hakuna kitu wanaweza kufanya mbele ya Iran sahivi kichapo ni cha moja kwa moja
Usijidanganye, raia wengi Sana wa Iran wamegawanyika kwenye makundi yanayokinzana.
 
Iran wananchi wamekuwa na hofu kubwa sana. Tuombe Mungu maana moto mkali wa Satellite Laser Weapons nyingi utachoma kila kitu huko Iran..!! Yaani ni moto mkali sana toka angani, hadi naogopa, naona kama Ayatollaah kakosema kurusha missiles kulekea Israel, maana katangaza vita kamili..!! Naona hatari kubwa sana, Iran imefanya kosa kubwa kuanzisha vita rasmi na Israel, maana muda wote Israel ilikuwa inapigana wana mgambo wa Iran, sasa Iran kaingia kichwa kichwa mwenyewe, moto wake utakuwa historia
Unaichukuliaje Iran? Au unadhani hiyo ni Sudani ya kusini? Wait and see!
 
Hakuna vita vya kidini hapo, Israel ameguswa kwenye mboni ya jicho, pia haoni tumaini mbele endapo Iran ataendelea kuspori makundi ya kigaidi
 
Tunapaswa kuzidisha dua/maombi ili dunia iwe na utulivu. Hatupaswi kushangilia hata kidogo
Vita haijawahi kumpendeza mwanadamu, lakini Mahali tulipofika hatuwezi kuogopana tena.
Acha kinuke heshima ipatikane.
Israel watapata sapoti ya Marekani lakini Iran naye atapata wa kumsapoti
 
Israel has now its greatest opportunity in 50 years, to change the face of the Middle East.

The leadership of Iran, which used to be good at chess, made a terrible mistake this evening.

We must act now to destroy Iran’s nuclear program, its central energy facilities, and to fatally cripple this terrorist regime.

To strike the head of the octopus of terror, that, in its cowardice, sent its tentacles (Hamas, Hezbollah, the Houthis, etc.) to murder us, while the Ayatollahs sat safely in their palaces in Tehran.

The octopus's tentacles are temporarily paralysed - now comes the head.

We must remove this terrible threat to our children's future.

We can grant the Iranian people an opportunity to rise up and shake off the regime that tyrannizes its women and daughters.

We have the justification. We have the tools.
Now that Hezbollah and Hamas are paralyzed, Iran stands exposed.

Over this last terrible year, Iranian tentacles murdered our families.
Raped our daughters.
Kidnapped our children.
Ransacked our towns.
Burned our fields.
Fired on our ships.
Terrorized children in Kiryat Shmona, Kfar Aza, and Sderot.
Emptied out whole regions of our land.
Humiliated us.

Now is the moment.

A Nation of Lions has united and proven its strength over the last year.
It has yearned for a change, for action, for so very long.
There are times when history knocks at our door, and we must open it.

This opportunity must not be missed.

Nimemnukuu huko "X" zamani twitter.
 
Haya wataalamu wa vita wa Sinza, Dongobesh, Babati, Karatu, Gidamba, Mwananyamala Kisiwani leteni maoni
Dongobesh,Karatu na Babati wanahusikaje mkuu,hiyo kazi ya uchambuzi tunawaachia watu wa bonyokwa,malamba mawili,chanika ,kimara na pembezoni mwa mji wa Dar.
 
Waziri mkuu wa zamani wa Israel Naftari Bennet amesema kuwa zamani Biden alisema acheni kwanza sasa amesema pambaneni tuko nyuma yenu hivyo tunachagua pakuanzia viwanda vya uchimbaji mafuta,nyuklia ,kambi za jeshi au makazi ya viongozi, kutakuwa na machungu makali na vilio.

Waziri huyo anayeona kuwa Benjamin Netanyahu hawajibiki sana kulipiza kisasi anaona kuwa wataifuta Iran kwa vipande Elfu kumi na itachukua miaka hamsini kujijenga .

USSR
Huu ndio msimamo mkali sana
 
Iran kiongozi wake akiuliwa na israel missile za jana ni km labsha tulabsha mie hofu yangubwale wazee wa ndevi mpka kwenye chembe ya moyo wasije fyatua yale makombora yenye sumu manake mwarabu hana cha kupoteza hatujua behind iran kajipangaje manake kuna urusi ndani ngoja tuone.
 
Waziri mkuu wa zamani wa Israel Naftari Bennet amesema kuwa zamani Biden alisema acheni kwanza sasa amesema pambaneni tuko nyuma yenu hivyo tunachagua pakuanzia viwanda vya uchimbaji mafuta,nyuklia ,kambi za jeshi au makazi ya viongozi, kutakuwa na machungu makali na vilio.

Waziri huyo anayeona kuwa Benjamin Netanyahu hawajibiki sana kulipiza kisasi anaona kuwa wataifuta Iran kwa vipande Elfu kumi na itachukua miaka hamsini kujijenga .

USSR
Wazayuni wa uyole na Ileje acheni mikwara
 
Iran kiongozi wake akiuliwa na israel missile za jana ni km labsha tulabsha mie hofu yangubwale wazee wa ndevi mpka kwenye chembe ya moyo wasije fyatua yale makombora yenye sumu manake mwarabu hana cha kupoteza hatujua behind iran kajipangaje manake kuna urusi ndani ngoja tuone.
Mrusi huyo huyu anayepotezwa na ukrane,hana sumu yule

USSR
 
Waziri mkuu wa zamani wa Israel Naftari Bennet amesema kuwa zamani Biden alisema acheni kwanza sasa amesema pambaneni tuko nyuma yenu hivyo tunachagua pakuanzia viwanda vya uchimbaji mafuta,nyuklia ,kambi za jeshi au makazi ya viongozi, kutakuwa na machungu makali na vilio.

Waziri huyo anayeona kuwa Benjamin Netanyahu hawajibiki sana kulipiza kisasi anaona kuwa wataifuta Iran kwa vipande Elfu kumi na itachukua miaka hamsini kujijenga .

USSR
Iran sio Congo
 
Iran wananchi wamekuwa na hofu kubwa sana. Tuombe Mungu maana moto mkali wa Satellite Laser Weapons nyingi utachoma kila kitu huko Iran..!! Yaani ni moto mkali sana toka angani, hadi naogopa, naona kama Ayatollaah kakosema kurusha missiles kulekea Israel, maana katangaza vita kamili..!! Naona hatari kubwa sana, Iran imefanya kosa kubwa kuanzisha vita rasmi na Israel, maana muda wote Israel ilikuwa inapigana wana mgambo wa Iran, sasa Iran kaingia kichwa kichwa mwenyewe, moto wake utakuwa historia
Unaogopa hayo mabomu ulirusha ww? Acha umama watu wako vitani we unalia lia unaogopa afu mtoto wa kiume ..
Afu mbaya zaid unaogopa ukiwa nyuma ya keyboard je ungekua front
 
Back
Top Bottom