Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,458
- 4,283
Mwezi huu wa rozali tusali Sana amani irejee Duniani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Biden na Netanyahu nani mzawa wa taifa teuleWaziri mkuu wa zamani wa Israel Naftari Bennet amesema kuwa zamani Biden alisema acheni kwanza sasa amesema pambaneni tuko nyuma yenu hivyo tunachagua pakuanzia viwanda vya uchimbaji mafuta,nyuklia ,kambi za jeshi au makazi ya viongozi, kutakuwa na machungu makali na vilio.
Waziri huyo anayeona kuwa Benjamin Netanyahu hawajibiki sana kulipiza kisasi anaona kuwa wataifuta Iran kwa vipande Elfu kumi na itachukua miaka hamsini kujijenga .
USSR
Myahudi kutoka Mugumu Serengeti. Kwa maoni yangu naona Iran kayakanyaa.Haya wataalamu wa vita wa Sinza, Dongobesh, Babati, Karatu, Gidamba, Mwananyamala Kisiwani leteni maoni
Tatizo baadae watalia unaua wanawake na watotoYeye na shoga yake Netanyahu A.K.A Isha Mashauzi wa Middle East hakuna kitu wanaweza kufanya mbele ya Iran sahivi kichapo ni cha moja kwa moja
Dini ipi na ipi? Maana kumbukumnu zangu zipo sawa Israel hapiganii dini.Vita vya kidini vitaanza mapema .
Kuna member miezi kadhaa nyuma aliandika kama hivi, unaichukuliaje Hezbollah.Unaichukuliaje Iran? Au unadhani hiyo ni Sudani ya kusini? Wait and see!
yaani mtu upo kibaigwa sidhani hata kama siri za jeshi la tz unazijua au huko mbali hata kikundu cha migambo wa hukijui au hata serikali ya mtaa haikujui leo ndiyo uje utuambie walichofanya Iran wamekosea yaani wewe unaona kuliko Iran? hii nchi tuna vijana wa hovyo ...Iran waliorusha wanajua nini wanafanya kama Iran anamsaka Israel aingie 18 utajuaje?Iran wananchi wamekuwa na hofu kubwa sana. Tuombe Mungu maana moto mkali wa Satellite Laser Weapons nyingi utachoma kila kitu huko Iran..!! Yaani ni moto mkali sana toka angani, hadi naogopa, naona kama Ayatollaah kakosema kurusha missiles kulekea Israel, maana katangaza vita kamili..!! Naona hatari kubwa sana, Iran imefanya kosa kubwa kuanzisha vita rasmi na Israel, maana muda wote Israel ilikuwa inapigana wana mgambo wa Iran, sasa Iran kaingia kichwa kichwa mwenyewe, moto wake utakuwa historia
Baadala ya kurusha makombora tutawarushie matofali 😏Nashauri na sisi tuanzishe kavita na hawa majiran zetu vita itahusiana na kuwakataza wasitumie Lugha yetu ya kiswahili.
Siasa bhana 😆Waziri mkuu wa zamani wa Israel Naftari Bennet amesema kuwa zamani Biden alisema acheni kwanza sasa amesema pambaneni tuko nyuma yenu hivyo tunachagua pakuanzia viwanda vya uchimbaji mafuta,nyuklia ,kambi za jeshi au makazi ya viongozi, kutakuwa na machungu makali na vilio.
Waziri huyo anayeona kuwa Benjamin Netanyahu hawajibiki sana kulipiza kisasi anaona kuwa wataifuta Iran kwa vipande Elfu kumi na itachukua miaka hamsini kujijenga .
USSR
Ni kweli kabisa. Ukiangalia innocent souls zinavyoangamia, watoto wanakuwa yatima, walemavu, desperate, etc, huwezi shabikia hivi vita.Watanzania simba na yanga zimewaharibu.
Kila kitu wanashabikia kama simba na yanga.
Bado haijawa vita kamili..... naona kama Ayatollaah kakosema kurusha missiles kulekea Israel, maana katangaza vita kamili..!!
Netanyahu ni mzungu kutoka Poland. Hilo jina alibadilisha walipolowea middle east.Mkuuu tunakujaaa
Sema mimi simuamini sana Naftar Benet.
Kama Mwamba wa Ukoo wa Yesu Kristo aliye hai Benjamin Netanyahu
Hata mangolaMkuu, mbona wa Hydom hukuwataja?
Dongobesh KumekuchaaHaya wataalamu wa vita wa Sinza, Dongobesh, Babati, Karatu, Gidamba, Mwananyamala Kisiwani leteni maoni
MMBURU lete uchambuzi murua kabisa. nakuamiania.Haya wataalamu wa vita wa Sinza, Dongobesh, Babati, Karatu, Gidamba, Mwananyamala Kisiwani leteni maoni