Naftar Benet: Tutaigawa Iran vipande elfu kwa miaka hamsini, jibu letu litakuwa kali na chungu

Naftar Benet: Tutaigawa Iran vipande elfu kwa miaka hamsini, jibu letu litakuwa kali na chungu

Kama Mwamba wa Ukoo wa Yesu Kristo aliye hai Benjamin Netanyahu
Ukoo gani? Netanyahu katokea Poland huko ni ashkenazi jew, hawa wa kubumba sio direct lineage ya wayahudi kama walau sephards. Kingine Netanyahu ni fisadi ana kesi mahakamani anatumia vita kuchelewesha masahibu yake kujulikana. Siku vita zikiisha kesi taanza kusikiliwa mahakamani, sasa sijui kama fisadi anaweza kuwa ukoo mmoja na Yesu!!!
 
Waziri mkuu wa zamani wa Israel Naftari Bennet amesema kuwa zamani Biden alisema acheni kwanza sasa amesema pambaneni tuko nyuma yenu hivyo tunachagua pakuanzia viwanda vya uchimbaji mafuta,nyuklia ,kambi za jeshi au makazi ya viongozi, kutakuwa na machungu makali na vilio.

Waziri huyo anayeona kuwa Benjamin Netanyahu hawajibiki sana kulipiza kisasi anaona kuwa wataifuta Iran kwa vipande Elfu kumi na itachukua miaka hamsini kujijenga .

USSR
Katika watu waniteseka kwa hilo shambulio la irani ni Ben gavir na huyu fala ..
 
Hakuna vita vya kidini hapo, Israel ameguswa kwenye mboni ya jicho, pia haoni tumaini mbele endapo Iran ataendelea kuspori makundi ya kigaidi
Na kingine wanataka waandike historia kuwa eti walishinda vita na hawajawahi kushindwa na ndio maana hawataki kabisa kusain sease fire deal ..maana wataoneka wameshindwa
 
Iran wananchi wamekuwa na hofu kubwa sana. Tuombe Mungu maana moto mkali wa Satellite Laser Weapons nyingi utachoma kila kitu huko Iran..!! Yaani ni moto mkali sana toka angani, hadi naogopa, naona kama Ayatollaah kakosema kurusha missiles kulekea Israel, maana katangaza vita kamili..!! Naona hatari kubwa sana, Iran imefanya kosa kubwa kuanzisha vita rasmi na Israel, maana muda wote Israel ilikuwa inapigana wana mgambo wa Iran, sasa Iran kaingia kichwa kichwa mwenyewe, moto wake utakuwa historia
Acha hofu, Iran ndio atakuwa mkombozi kwa nchi za kiislam zote za Mashariki ya kati mpaka Saudia Arabia itakomboka kutoka katika makucha ya makafiri na mazayuni In Shaa Allah.
 
Acha hofu, Iran ndio atakuwa mkombozi kwa nchi za kiislam zote za Mashariki ya kati mpaka Saudia Arabia itakomboka kutoka katika makucha ya makafiri na mazayuni In Shaa Allah.
Unaota ndoto za mchana!haziwi na ukweli.
 
Iran itageuzwa kuwa misri
Acha hofu mayahudi pia wanaongopa kifo, kicha cha Iran juz wanalizana wenyewe kwa wenyewe huko, usijidai hujamuona Netanyahu akitimua mbio kule ndani mavi kitambaani
 
Usiwape nguvu mayahudi na makarifi kwa hisia, Israel alikuwa na tabia ya akipigwa anajibu hapo hapo the following day, lakini mara hii imembidi achunge nidhamu kidogo
Waarabu hawana ushirikiano watapigwa tuu,pole Mkuu utakuja kusema sikukwambia!
 
Waziri mkuu wa zamani wa Israel Naftari Bennet amesema kuwa zamani Biden alisema acheni kwanza sasa amesema pambaneni tuko nyuma yenu hivyo tunachagua pakuanzia viwanda vya uchimbaji mafuta,nyuklia ,kambi za jeshi au makazi ya viongozi, kutakuwa na machungu makali na vilio.

Waziri huyo anayeona kuwa Benjamin Netanyahu hawajibiki sana kulipiza kisasi anaona kuwa wataifuta Iran kwa vipande Elfu kumi na itachukua miaka hamsini kujijenga .

USSR
Hahahah kwahio watagawa wastan kwa idadi au sio? 😂 Nadhani utakuwa wasaa mzuri wa wao kumeza nuclear za Saturn toka Russia. Kama ambavyo USA anajifaragua pale Ukraine
 
Waziri mkuu wa zamani wa Israel Naftari Bennet amesema kuwa zamani Biden alisema acheni kwanza sasa amesema pambaneni tuko nyuma yenu hivyo tunachagua pakuanzia viwanda vya uchimbaji mafuta,nyuklia ,kambi za jeshi au makazi ya viongozi, kutakuwa na machungu makali na vilio.

Waziri huyo anayeona kuwa Benjamin Netanyahu hawajibiki sana kulipiza kisasi anaona kuwa wataifuta Iran kwa vipande Elfu kumi na itachukua miaka hamsini kujijenga .

USSR
Hahahahaha maneno ya nini wanadhani Iran hao US, UK, France walio tayari wanepeleka majeshi yao eti wanaenda mzuia Iran asishambulie Israel ndio watamtisha Iran.

Israel alijidai hakuna madhara oneni ndege zake F35 zilivyo unguzwa na base yake ilivyo chakazwa hio ni kwenye satellite image.


View: https://youtu.be/n3g03_wRoSc?si=ij96WpCUplJJ7xOy
 
Waarabu hawana ushirikiano watapigwa tuu,pole Mkuu utakuja kusema sikukwambia!
Unavyoona wewe pamoja na unafiki wa baadhi ya nchi za kiarabu lakini Iran atapa support kutoka mataifa hayo hayo kikafiri
 
Back
Top Bottom