Mkuuu tunakujaaaHaya wataalamu wa vita wa Sinza, Dongobesh, Babati, Karatu, Gidamba, Mwananyamala Kisiwani leteni maoni
Hawa jamaa hapo mashariki ya kati wanapigana mikwara hatarii🤣🤣🤣 wanatusumbua sana sisi wengine tunawaza mapenzi sahivi.Waziri mkuu wa zamani wa Israel Naftari Bennet amesema kuwa zamani Biden alisema acheni kwanza sasa amesema pambaneni tuko nyuma yenu hivyo tunachagua...
Wanaonesha wameumizwa sana jana.Waziri mkuu wa zamani wa Israel Naftari Bennet amesema kuwa zamani Biden alisema acheni kwanza sasa amesema pambaneni tuko nyuma yenu hivyo tunachagua pakuanzia viwanda vya uchimbaji..
Hakika,ya 3 hii ....hii yenyewe kabisaTunakoenda anajua Mungu
Do! Mkuu umeua5!Haya wataalamu wa vita wa Sinza, Dongobesh, Babati, Karatu, Gidamba, Mwananyamala Kisiwani leteni maoni
Ficha ujinga wako.Iran wananchi wamekuwa na hofu kubwa sana. Tuombe Mungu maana moto mkali wa Satellite Laser Weapons nyingi utachoma kila kitu huko Iran..!! Yaani ni moto mkali sana toka angani, hadi naogopa, naona kama Ayatollaah kakosema kurusha missiles kulekea Israel, maana katangaza vita kamili..!! Naona hatari kubwa sana, Iran imefanya kosa kubwa kuanzisha vita rasmi na Israel, maana muda wote Israel ilikuwa inapigana wana mgambo wa Iran, sasa Iran kaingia kichwa kichwa mwenyewe, moto wake utakuwa historia
Mkuu, mbona wa Hydom hukuwataja?Haya wataalamu wa vita wa Sinza, Dongobesh, Babati, Karatu, Gidamba, Mwananyamala Kisiwani leteni maoni