Naftar Benet: Tutaigawa Iran vipande elfu kwa miaka hamsini, jibu letu litakuwa kali na chungu

Usiwape nguvu mayahudi na makarifi kwa hisia, Israel alikuwa na tabia ya akipigwa anajibu hapo hapo the following day, lakini mara hii imembidi achunge nidhamu kidogo
Amepewa kichapo cha maana. Sio tu kupigwa
 
Wanapiga wikiijayo wameshauri mju mjuu watu wasikae kuanzia jtatu ijayo

Nxty version wamesema n Yemen huku wamesema watawapa vijana wadogo wampakan kumalizana nao aisee
Kaziniisraelkunakazi
 
Watamchomeka vidole mpaka Allah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…