Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Siyo kweli mkuu US teens wenyewe wanapenda iPhone na hadi wanaotumia android wanaonekana kutengwa.Ukweli ni upi? Ukweli utabaki pale pale kama wewe si mpenzi wa customization, Iphone ni simu bomba ila kama wewe unataka kutumia simu kwa 80%+ android ni chaguo sahihi. Nafaka
Halafu kuhusu Iphone kutumiwa na wazee mambele hili hata sio la kubisha kafanye tafiti mzee.
Unajua kwanini Google anamtaka Apple adopt RCS kwenye iMessanger? Ni kwasababu teens wanachukua iPhones kuendana na wenzao. Kasome blue vs green buble effect.
Hata statistics Mobile OS share in North America 2018-2021 | Statista
Ziko wazi.