NAFUMUA MSHONO: Simu za iPhone ni mdebwedo, wanaozitumia ni watu wa kufuata mkumbo bila reasoning. Simu za Android ndio mpango mzima!

NAFUMUA MSHONO: Simu za iPhone ni mdebwedo, wanaozitumia ni watu wa kufuata mkumbo bila reasoning. Simu za Android ndio mpango mzima!

Umekazia, na mimi nakaza.

Nilikuwa kwa kinyozi akapiga miziki mikali nikadhani labda ipo Spotify, au Icloud au Amazon Music, au sijui XM Satellite. Nikamwambia nazipataje hizo ngoma Kiongozi ?

Akasema ziko kwenye flashi hapa hapa saluni. Hakuna mtu analipia ma iCLOUD na ma SPOTIFY viunga hivi. We have higher priorities on spending. Data zetu haziko kwenye servers San Fransisco mjini.

Tunatunza data zetu hapa hapa Makete Stendi.

For the overwhelming majority of us, our phones are powered by Android, the gold-standard of everything open-source.
Halaf hata haisupport otg sijui iphone inamatatizo gani.
 
Wa TECNO tumekaa pembeni hata hatufungamani na upande wowote.
 
Kumbe hata huko huwa wanajiuliza maswali kama haya

Screenshot_2022-04-24-07-55-48-528_com.twitter.android.jpg
 
Mimi yote 9 lakini nikimuona mtu amekaa simu iko off lakini kaishikilia mkononi na kaigeuza hasa akiwa mwanamme huwa namshusha sana hao wanawake unaweza usishtuke maana ndio hulka zao lakini mwanamme mzima umekaa umegeuza macho matatu na wewe ni tabia za kike kwangu na hata kina dada zamani simu inakaa kwenye pochi lakini leo kila mtu simu imegeuzwa.
 
Mimi yote 9 lakini nikimuona mtu amekaa simu iko off lakini kaishikilia mkononi na kaigeuza hasa akiwa mwanamme huwa namshusha sana hao wanawake unaweza usishtuke maana ndio hulka zao lakini mwanamme mzima umekaa umegeuza macho matatu na wewe ni tabia za kike kwangu na hata kina dada zamani simu inakaa kwenye pochi lakini leo kila mtu simu imegeuzwa.
Mimi hata niwe na kitochi siwezi kiweka mfuko niwe natembea nimekaa yani kama natembea kimekaa mkononi kama nimekaa imekaa mezani kuweka simu mfukoni haiwezi kukaa hata dakika kumi inanifanya nijshisi uncomfortable
 
Mobile Developers who know the iOS ecosystem seem to earn about $10,000 more on average than Android Developers, so IOS ni gharama kidogo. Mkuu hapa pia tunaona kwamba kuna uhaba wa swift developers lugha ambayo ilimreplace objective-C na ambayo ilitengenezwa na wenyewe apple, Chris Lattner latner na wenzie. So zao la iphone and the likes ni full package ya Apple inc. Upande wa pili sasa bwana James Gosling ndio mmiliki halali wa java na Google ni watu wawili tofauti na java developers wako wengi sana, As of 2020, there were 5,9 million Android developers and 2,8 million iOS developers in the world...me nadhan cost of production ya IOS devices ni kubwa mzee.
 
The problem is the hole in the hearts of people. They feel inadequacy, unfulfilled, incomplete,denied things in the early childhood,
They're seeking external validation wengi.
 
Mimi infinix .. unanisumbua ...


Haikubali kupiga kwa video call Wala whatsup Call .. sijui shida Ni nini..
 
Back
Top Bottom