Kilimbaym
JF-Expert Member
- Mar 14, 2022
- 452
- 690
ahahahhavibinti vinavyomiliki izo iphone uwa vinanata sana kisa vinamiiki iphone.
navipiga pipe mpaka vinajamba na iphone yake inashuhudia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahahahhavibinti vinavyomiliki izo iphone uwa vinanata sana kisa vinamiiki iphone.
navipiga pipe mpaka vinajamba na iphone yake inashuhudia.
Halaf hata haisupport otg sijui iphone inamatatizo gani.Umekazia, na mimi nakaza.
Nilikuwa kwa kinyozi akapiga miziki mikali nikadhani labda ipo Spotify, au Icloud au Amazon Music, au sijui XM Satellite. Nikamwambia nazipataje hizo ngoma Kiongozi ?
Akasema ziko kwenye flashi hapa hapa saluni. Hakuna mtu analipia ma iCLOUD na ma SPOTIFY viunga hivi. We have higher priorities on spending. Data zetu haziko kwenye servers San Fransisco mjini.
Tunatunza data zetu hapa hapa Makete Stendi.
For the overwhelming majority of us, our phones are powered by Android, the gold-standard of everything open-source.
Hahahaaaa[emoji23][emoji23]kweli wewe ni NAWATAFUNA
Kamanda upoWa TECNO tumekaa pembeni hata hatufungamani na upande wowote.
Nipo nipo kamandaKamanda upo
Midrange zinafanya poa sana India ndio maana simu nyingi za midrange zinaitarget sana India hasa kutoka China
Mimi hata niwe na kitochi siwezi kiweka mfuko niwe natembea nimekaa yani kama natembea kimekaa mkononi kama nimekaa imekaa mezani kuweka simu mfukoni haiwezi kukaa hata dakika kumi inanifanya nijshisi uncomfortableMimi yote 9 lakini nikimuona mtu amekaa simu iko off lakini kaishikilia mkononi na kaigeuza hasa akiwa mwanamme huwa namshusha sana hao wanawake unaweza usishtuke maana ndio hulka zao lakini mwanamme mzima umekaa umegeuza macho matatu na wewe ni tabia za kike kwangu na hata kina dada zamani simu inakaa kwenye pochi lakini leo kila mtu simu imegeuzwa.
Inaonekana hata huko India hawazikubali sana TecnoMidrange zinafanya poa sana India ndio maana simu nyingi za midrange zinaitarget sana India hasa kutoka China
Nliona mtoto wa tecno infinix anafanya fanya poa indiaInaonekana hata huko India hawazikubali sana Tecno
infinix na Tecno zinauzwa bei chee huko, ila bado huku Africa hawazinduki. ikiuzwa laki 5 kule huku laki 8.Inaonekana hata huko India hawazikubali sana Tecno
Woiii nimecheka aloo[emoji23]