Nafunguaje NGO na kupata hela za mradi?

Nafunguaje NGO na kupata hela za mradi?

Hapana mkuu wala sijatishwa na mtu.Katika kutafuta Funds kuna Njia nyingi na hiyo ya ku respond to Calls for Proposal ni Moja na mara nyingi ni very competitive kwa sababu zinakuwa zinafanyika kwa mchujo,deadline ni fupi na pia kiasi cha pesa kinachotolewa kinakuwa ni fixed kikiwa ni lengo maalum.

Hata hivyo katika kufanya Fundraing kuna approaches nyingi sana ambazo unaweza kuzitumia cha msingi ni kuhakikisha kwamba unakuwa na MIX nzuri ya Strategy na unafanya Networking ya kutosha na cha muhimu zaidi ni kuhakikisha kile ambacho unafanya una passion nacho.

Tatizo la NGO nyingi zilizofeli ni zile ambazo watu wanaanzisha bila kuwa na passion na kile wanachofanya.Wanaanzisha kwa sababu wanasikia au kuona NGO zinapata PESA wanafikiri ni RAHISI.Wasichokijua ni kwamba NGO industry ni BUSINESS kama BUSINESS nyingine na zina ushindani na changamoto za kila namna.Cha muhimu ni kuelewa Strategically ni nini unataka kufanya,kwa nini unataka kukifanya na zaidi ni kuhakikisha kwamba unafanya utafiti wa kina na kuwa tayari wakati wote kutumia fursa ambazo zinajitokeza.
Kabisa mkuu unakuta waanzilishi 7 au watano mmoja tu ndo yuko committed na waxo wengine wapo tu hawana mchango wowote si wa mawazo wala fedha wabahili na wasiopenda kujitoa muda wao kuhakikisha wazo linatekelezeka,kila mmoja yuko busy na yake mzigo unabaki wa mtu mmoja tu aliyenzisha wazo lazima NGO itetereke ..
 
Hapana mkuu wala sijatishwa na mtu.Katika kutafuta Funds kuna Njia nyingi na hiyo ya ku respond to Calls for Proposal ni Moja na mara nyingi ni very competitive kwa sababu zinakuwa zinafanyika kwa mchujo,deadline ni fupi na pia kiasi cha pesa kinachotolewa kinakuwa ni fixed kikiwa ni lengo maalum.

Hata hivyo katika kufanya Fundraing kuna approaches nyingi sana ambazo unaweza kuzitumia cha msingi ni kuhakikisha kwamba unakuwa na MIX nzuri ya Strategy na unafanya Networking ya kutosha na cha muhimu zaidi ni kuhakikisha kile ambacho unafanya una passion nacho.

Tatizo la NGO nyingi zilizofeli ni zile ambazo watu wanaanzisha bila kuwa na passion na kile wanachofanya.Wanaanzisha kwa sababu wanasikia au kuona NGO zinapata PESA wanafikiri ni RAHISI.Wasichokijua ni kwamba NGO industry ni BUSINESS kama BUSINESS nyingine na zina ushindani na changamoto za kila namna.Cha muhimu ni kuelewa Strategically ni nini unataka kufanya,kwa nini unataka kukifanya na zaidi ni kuhakikisha kwamba unafanya utafiti wa kina na kuwa tayari wakati wote kutumia fursa ambazo zinajitokeza.
Kabisa, kuendesha NGO ni rahisi sana kama una malengo ya dhati plus passion ya unachotaka kufanya. Hapo ndipo linapokuja suala la innovation, ukitaka kuishi kwenye NGO lazima uwe mbunifu
 
Dah,Mkuu,so natakiwa nikupe Jina la NGO,Ofisi ilipo uje ututembelee Just to Prove a JF discussion to you?OK iko hivi kwanza SINA NGO yangu,I work with multiple NGOs.Pili hata kama ningekuwa na NGO sidhani kama ningeshare approaches zangu zote hapa JUST like that.

Ila kwa sababu ya kuelimishana nitakujulisha yafuatayo:

Kwanza kuna NGOs au TRUSTS ambazo zinajihusisha na kutafuta FUNDS kwa ajili ya NGOS.Yaani wenyewe wanatafut Donors na kusimamia Funds za Donor na kuzitolea Taarifa kwa Donors na wao wanachukua Taarifa kutoka kwa hiz Final CBOs na NGOs.

Pili kuna sector specific Funders ambao wao wanalenga Funding kwa ajili ya Sector fulani TU mfano,Afya tena with specific area,Education,Environment etc

Tatu kuna Corporate Donors ambao wengi wanaweza fall katika eneo la CSR and Philantropy.

Sasa ukitazama hapo utaona kwamba nje ya hizo Call for Proposal kuna POOL kubwa sana ya FUNDERS ambayo unaweza kuitumia cha muhimu ni kuhakikisha kuwa NGO yako ina STRATEGIC ALIGNMENT na TRACK RECORD nzuri itakayowezesha NGO yako kupata PESA.Kufikia hapo inahitaji JITIHADA zaidi ya KUSAJILI tu NGO.

Unahitaji KUJUA nini UNAFANYA na UNAKIFANYAJE.

Nafikiri kama uko makini kuna kitu umekipata hapa.
Tapeli huyo anataka kujua jina la NGO yako ili wakora waipige nyundo? Kama ambavyo umeelezea, maisha katika sekta ya NGOs ni rahisi sana kama mtu anajua nini cha kufanya na namna ya kukifanya
 
Tuma picha ya kazi zako hapa tuone kama kweli unanufaik na concept paper tu. Mambo yamebadilika sana wakuu Kuna mradi umefungiwa naufaham pale mikochen na hela zilishatolewa. Watu walikuwa wananunua kesi.. siku hiz Kuna micro management.

Fund ya USAID kwa mwaka ni mwezi wa pili. Na waliyepata mwaka huu wanajulikana. Wew imepata fund kwa call Gani?
Unataka kuijua NGO yangu ili iweje? Kwa akili yako unadhani naweza kushare taarifa zangu binafsi hapa kwa manufaa yako?
Kwa kifupi NGO yangu inafanya kazi na hayo mashirika makubwa kitambo tu (UNDP, USADF, PEPFAR, Baadhi ya balozi, na oktoba/novemba hii nitakuwa na USAID Tanzania). Nilianza kupata funds kutoka US Embassy miezi 2 tu baada ya kusajili hiyo NGO
 
Hiyo fomu ya USAID mwaka Jana mm nimejaza mwemyew na inataka mjaze majina ya watu watatu na uwezo wao na wanaakt kama nani hapo kwenye NGO.

Pepfar uliweka Nini na Nini wakati unaomba fund?
Ndio maana nimekuambia HUJUI KITU kuhusu namna NGOs zinavyofanya kazi zao na jinsi ya kupata funds, ngoja tukupe shule wazoefu.

Kwanza unatakiwa ujue US Embassy DSM kila mwaka anatoa aina 3 za calls for proposals; (1) Community grants (Ambassador Self Special Help) - bajeti yake ni USD 1,000 hadi USD 10,000; (2) PEPFAR - bajeti yake ni USD 5,000 hadi USD 25,000; na (3) Public Democracy Small Grants (PD Small Grants) - bajeti yake ni hadi USD 25,000

Pili unapojaza fomu yao ya maombi ni lazima uwe na majina ya timu yako ya mradi (Project Management Team), kama vile Project Coordinator; Accountant; Monitoring, Evaluation & Learning (MEL) Officer n.k.

SIO LAZIMA WAWEPO OFISINI, unahitaji kuwa na contact details zao tu baasi. Hivyo ndivyo tunavyoendesha NGOs zetu ndugu

Wafadhili wengine wanatoa DAU kubwa zaidi ya hawa US Embassy; UNDP wanatoa USD 50,000; Finnish Embassy wanatoa Euros 85,000; Ubalozi wa Japan wanatoa Japanese Yen 10,000,000 (takribani USD 75,000); USADF wanatoa USD 250,000; USAID wanatoa minimum USD 250,000;Umoja wa Ulaya (EU) wanatoa mabilioni ya pesa, na kadhalika na kadhalika
 
Ndio maana nimekuambia HUJUI KITU kuhusu namna NGOs zinavyofanya kazi zao na jinsi ya kupata funds, ngoja tukupe shule wazoefu.

Kwanza unatakiwa ujue US Embassy DSM kila mwaka anatoa aina 3 za calls for proposals; (1) Community grants (Ambassador Self Special Help) - bajeti yake ni USD 1,000 hadi USD 10,000; (2) PEPFAR - bajeti yake ni USD 5,000 hadi USD 25,000; na (3) Public Democracy Small Grants (PD Small Grants) - bajeti yake ni hadi USD 25,000

Pili unapojaza fomu yao ya maombi ni lazima uwe na majina ya timu yako ya mradi (Project Management Team), kama vile Project Coordinator; Accountant; Monitoring, Evaluation & Learning (MEL) Officer n.k.

SIO LAZIMA WAWEPO OFISINI, unahitaji kuwa na contact details zao tu baasi. Hivyo ndivyo tunavyoendesha NGOs zetu ndugu

Wafadhili wengine wanatoa DAU kubwa zaidi ya hawa US Embassy; UNDP wanatoa USD 50,000; Finnish Embassy wanatoa Euros 85,000; Ubalozi wa Japan wanatoa Japanese Yen 10,000,000 (takribani USD 75,000); USADF wanatoa USD 250,000; USAID wanatoa minimum USD 250,000;Umoja wa Ulaya (EU) wanatoa mabilioni ya pesa, na kadhalika na kadhalika
USHAMALIZA KUGUGO TAYARI. JICA MWAKA HUU WAMEFADHIKI ORGANIZATION GANI?
 
Ndio maana nimekuambia HUJUI KITU kuhusu namna NGOs zinavyofanya kazi zao na jinsi ya kupata funds, ngoja tukupe shule wazoefu.

Kwanza unatakiwa ujue US Embassy DSM kila mwaka anatoa aina 3 za calls for proposals; (1) Community grants (Ambassador Self Special Help) - bajeti yake ni USD 1,000 hadi USD 10,000; (2) PEPFAR - bajeti yake ni USD 5,000 hadi USD 25,000; na (3) Public Democracy Small Grants (PD Small Grants) - bajeti yake ni hadi USD 25,000

Pili unapojaza fomu yao ya maombi ni lazima uwe na majina ya timu yako ya mradi (Project Management Team), kama vile Project Coordinator; Accountant; Monitoring, Evaluation & Learning (MEL) Officer n.k.

SIO LAZIMA WAWEPO OFISINI, unahitaji kuwa na contact details zao tu baasi. Hivyo ndivyo tunavyoendesha NGOs zetu ndugu

Wafadhili wengine wanatoa DAU kubwa zaidi ya hawa US Embassy; UNDP wanatoa USD 50,000; Finnish Embassy wanatoa Euros 85,000; Ubalozi wa Japan wanatoa Japanese Yen 10,000,000 (takribani USD 75,000); USADF wanatoa USD 250,000; USAID wanatoa minimum USD 250,000;Umoja wa Ulaya (EU) wanatoa mabilioni ya pesa, na kadhalika na kadhalika
KOICA AU EMBASY YA CANADA MWAKA HUU WAMETOA CALL LINI?
 
Unataka kuijua NGO yangu ili iweje? Kwa akili yako unadhani naweza kushare taarifa zangu binafsi hapa kwa manufaa yako?
Kwa kifupi NGO yangu inafanya kazi na hayo mashirika makubwa kitambo tu (UNDP, USADF, PEPFAR, Baadhi ya balozi, na oktoba/novemba hii nitakuwa na USAID Tanzania). Nilianza kupata funds kutoka US Embassy miezi 2 tu baada ya kusajili hiyo NGO
Sio kweli. Hii ni scam kama scam nyingine. Siwez kubisha na gugo mm. Usieleze nadharia. EMBASY umezitaja nyingi sana, screenshot call for Proposal moja tu ya miaka hii miwili kutoka JICA. USAID Kama wana call nyingine nje ya hiyo iweke hapa. Yani we ututishe hapa NGO yako Ina miez miwili imepewa fund labda nabishana na jakaya kikwete
 
Wakuu anaetaka kufungua NGO afungue tu.. lakini fund hairoki kama anavyotaka Rashidi Jololo . Huyu ni scammer kuweni nae makini. Hana NGO yoyote anayomiliki na anatumia gugo kusachi. NSA zote zinajua fund inatolewaje na NSA Zina umoja wa updates...

Ngo iliyoweza kufungulia n bkupat fund wiki hiyohiyo Tanzania hii ni ya jakaya tu
 
Sio kweli. Hii ni scam kama scam nyingine. Siwez kubisha na gugo mm. Usieleze nadharia. EMBASY umezitaja nyingi sana, screenshot call for Proposal moja tu ya miaka hii miwili kutoka JICA. USAID Kama wana call nyingine nje ya hiyo iweke hapa. Yani we ututishe hapa NGO yako Ina miez miwili imepewa fund labda nabishana na jakaya kikwete
Kuna sehemu nimetaja JICA? Hata kuandika Embassy hujui, mimi nimetaja balozi mbali mbali ikiwemo Embassy of Japan. Kuna "on going call for proposals, angalia hapo chini nimekuwekea. Hujui hata tofauti ya JICA na Embassy of Japan?

US Embassy wanatoa funds kwa NGO hata kama imesajiliwa leo, unatakiwa kuwa na wazo la kibunifu tu

Tatizo lako wewe HUJUI KITU na hutaki kujua kama hujui
 

Attachments

Wakuu anaetaka kufungua NGO afungue tu.. lakini fund hairoki kama anavyotaka Rashidi Jololo . Huyu ni scammer kuweni nae makini. Hana NGO yoyote anayomiliki na anatumia gugo kusachi. NSA zote zinajua fund inatolewaje na NSA Zina umoja wa updates...
Mm sijajua shida yako nn mpaka umuite mtu scammer.Anyway nachokiona hapa ni uharibifu tu wa mjadala.Aliyeuliza swali anahitaji abcs.Ww unataka unachosema wewe ndo kiwe final ilhali mjadala unavo3nda watu wanapata baadhi ya hints.Mm nafikiri Ukijikita katika kuweka facts,changamoto na kuhakikisha midabwada na midebwede inapungua utasaidia zaidi kuliko kuita mtu scamme5
 
Mbona kuna watu mnabishana wakati wote mmezungumzia kitu kimoja katika engo tofauti tofauti. Mmoja amezunguzia the broader way wengine mmezungumzia narrow ways. Yaani ni kama mtu aseme not only but also…..

Mi sitaki kuandika leo.
 
KOICA AU EMBASY YA CANADA MWAKA HUU WAMETOA CALL LINI?
HUJUI KITU WEWE, sibishani na wewe tena
CALL FOR PROPOSALS - HIGH COMMISSION OF CANADA TO TANZANIA.PNG
 
Back
Top Bottom