Makeya Mranzi
Member
- Aug 15, 2020
- 93
- 122
OkNatafute mke ambae hatoomba pesa kabla ya ndoa
Anyway natania mkuu
Maswal mengine ni ya private , haileti mantiki ukijibia hapaAlafu mkuu wewe si ndio umeeanzisha ule uzi ya kwamba kama sex ni kipimo cha upendo ama laaaa
Sasa na mimi nakuuliza wewe
Je ushawahi kushiriki ngono?
Jibu YES or NO
Makeya Mranzi
Asante🙏Bora ubaki na baba yako mzazi
🤔Awe na mboo inchi ngapi please.
KivipiItakuwa ngumu sana kuchukua mzigo kabla ya kuuonja, je nikiuziwa mbuzi kwenye gunia
C kwa sababu ya kuficha kitu Ila ni kwasababu zengine . Km Ila aweke wazi kipi hapendi kipi km nkikudanganya talaka zipoHapo kwenye sex unaficha nini asikijue?
Shukran🙏Nenda kaolewe na James delicious