Nafuta mume ambaye hatoomba ngono kabla ya ndoa

Nafuta mume ambaye hatoomba ngono kabla ya ndoa

Habar mm ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambae atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mm bila sex Hadi ndoa.

Elimu: chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini:muislamu .
Muonekano: mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate pm.
Haiwezekani
 
Vigezo vyote ninavyo ila hapo kwenye No sex hadi ndoa mtihani!

Kila la heri dada
 
Habar mm ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambae atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mm bila sex Hadi ndoa.

Elimu: chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini:muislamu .
Muonekano: mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate pm.
Ila pia hakikisha hutamuomba ada na matumizi ya chuo.Hapo utafanikiwa kutunza heshima yako
 
Wooyooo Vigezo vyote nimekidhi kama ni dini nitasilimu...
 
Sisi wawili tunavyomsumbua....hafikishi watatu....atajitakia kufa kwa kihoro.....
Ila wanaofikishaga mpaka wanne inabidi kugangamara hasa ikiwa ni pamoja na kula vizuri na mazoezi ya kutosha hasa enzi hizi. Nina braza alikuwa nao sita miaka ile aisee mpaka afya yake ilikuja kuwa mgogoro yaani. Halafu kamke kake kamwisho kadogo kazuri tu kama wewe halafu kakawa rika langu kabisa dah!

Kama nyinyi wawili anawaweza basi mshaurini aishie hapo hapo aisee [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Nikutakie kila kheri🙏🏿🙏🙏🏿🙏🏿
Ila mwanaume asitake Sex? Mbn makubwa wewe Hujawahi Kusex?
 
Sasa bila kukugegeda nitajuaje kama una miundo mbinu ya viwango ninavyovihitaji, wewe pia utajuaje kama nina miundo mbinu ya standadi geji, matokeo yake tutachokana haraka sana kwa sababu kila mmoja atakutana na kitu ambacho hakukitarajia kwa mwenzake
 
Habar mm ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambae atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mm bila sex Hadi ndoa.

Elimu: chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini:muislamu .
Muonekano: mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate pm.
Mungu akutangulia katka ndoto zako..ila atakukuta una usichana wako? maana huwezi kuweka masharti kwa mtu kama wewe mwenyewe hujafikia vigezo.
 
Back
Top Bottom