Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤔Huo ni ushamba, kufanya sex mpaka kwenye ndoa kwani wewe hujatobolewa,
🙏
🙏Uamuzi mzuri binti, all the best
Huyo mwamba anawakusanya utafikiri anataka kuunda timu ya mpira. Kila kona utamsikia "njoo uwe mke wangu wa saba" [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Utaweza uke wenza?
Nikukaribishe kwenye familia yetu na Jurjani ....
😃😃😃Huyo mwamba anawakusanya utafikiri anataka kuunda timu ya mpira. Kila kona utamsikia "njoo uwe mke wangu wa saba" [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
AsanteKwa sababu ni ndoa ya kiislam hakuna shida, hata kama hamjui kama YALIYOMO YAMO mnaeza oana tu, mikikuta sio mnatalikiana tu.
Ila upande wa pili huku kwenye pingu za maisha nadhani kutest mitambo ni muhimu kwa sababu safari ni ndefu.
Kila la kheri binti.
Okay, good luckC kwa sababu ya kuficha kitu Ila ni kwasababu zengine . Km Ila aweke wazi kipi hapendi kipi km nkikudanganya talaka zipo
Muikristu hpnWewe ni bikra?
Mimi mkristo nipo tayari kupeleka posa kwenu na mahari
Sw asanteInaonesha vitu vyako vya ndani vinahitilafu fulani,, kwa zama hizi bila kufunuana mahusiano hayana ladha
Habar mm ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambae atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mm bila sex Hadi ndoa.
Elimu: chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini:muislamu .
Muonekano: mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.
SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.
Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate pm.
Sw asanteMaliza kwanza chuo uanze kutafta kazi
Utathibitisha vipi?Ila kama ww hujawahi sex sawa!
Akikujibu unistue wife.Utaweza uke wenza?
Nikukaribishe kwenye familia yetu na Jurjani ....