Nafuta mume ambaye hatoomba ngono kabla ya ndoa

Nafuta mume ambaye hatoomba ngono kabla ya ndoa

Habar mm ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambae atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mm bila sex Hadi ndoa.

Elimu: chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini:muislamu .
Muonekano: mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate pm.
karibu tukielewana naoa ndani ya week 2 tu but shart langu ni kupima magonjwa yote tukiwa ote kama uko tayar karbu pm tuongee
 
Kama mna chemistry ya kutosha, mtajikuta mmpendiana kabla ya kuombana game.

semper fidelis
 
Habar mm ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambae atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mm bila sex Hadi ndoa.

Elimu: chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini:muislamu .
Muonekano: mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate pm.
Mkuu mume huyo kwa sasa duniani hayupo,,
alishakufa zamani kwenye gharika ya Nouh.
Wanaume tuliopo sasa ni lazima tuonje...
Tena sio Mara moja...
Ukitaka bila kuonjwa basi na ww uwe bikira...
 
Pole mpendwa huku hupati hao wanaume wa hvyo weng wao wapitanjia .. nenda msikitini mweleze shekh umpe na mashart yote hayo atawaeleza vijana wanaohitaj mwenza na utapata wenye dini Inshaallah...huku hakuna wanaume mpenz ni vitombi tupu
I feel you. Umeongea kwa unyonge sana dah!

Ana miaka 21 tu. Sidhani kama yuko desperate namna hiyo. Angekuwa amegonga thete plasi huko labda....
 
Hatoomba sex kabla ya ndoa" inamaana iko sealed? Kama sivyo wakati anasubiri ndoa lazma wanamega mkate jamaa
 
Habar mm ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambae atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mm bila sex Hadi ndoa.

Elimu: chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini:muislamu .
Muonekano: mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate pm.
Mume huyo hayupo
 
Habar mm ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambae atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mm bila sex Hadi ndoa.

Elimu: chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini:muislamu .
Muonekano: mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate pm.


Hapo kwenye kazi katika zama hizi za layoffs kibao!!!, hebu legeza kidogo na useme "mwenye kazi na anayetafuta kazi".

Unajua siku hizi kuoa ni rahisi kuliko kuolewa??---taking into account womens outnumber men, punguza masharti dada.
 
C kwa sababu ya kuficha kitu Ila ni kwasababu zengine . Km Ila aweke wazi kipi hapendi kipi km nkikudanganya talaka zipo
Ungekuwa bikra sawa.

Ucharazwe mpaka uchoke ndo uniwekee masharti. Weeeeeee
 
Kama hunogi je?
Mama njoo tuonjane, km unanoga nakuoa nakuweka ndani km hunogi mama pita kushoto
 
Habar mm ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambae atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mm bila sex Hadi ndoa.

Elimu: chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini:muislamu .
Muonekano: mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate pm.
Una ulemavu kwenye viungo vya uzazi mpaka unataka umuuzie mkaka wa watu mbuzi kwenye gunia aje augundue ameshasaini mkataba wa maisha eeh??
 
Eboo sex mpaka ndoa we ulisikia wapi.. We uliskia wapii?


Kwanzaa chura ipo ? pengine tunaweza vumilia Kama ipo kwa kuitazama tu
 
Back
Top Bottom