Nafuta mume ambaye hatoomba ngono kabla ya ndoa

Utaambiwa na ww usiombe hela kabla ya ndoa........hahahahahah,
 
Yeye asiombe sex ila wewe umuombe hela? Serious

Mzani haujabalance aiseee.


Anyway. I think its okay kama wewe utakuwa bikra. Ila kama ulishaonjwa hicho kigezo kifute tu as hakimake sense.
 
Hujawahi kukwanguliwa!! Maana isije kua kuna baaria alikula tunda hajakuoa halamu mimi muoaji ndo nisubiri hadi ndoa!!.
 
Awe na mahusiano na wewe lakini asiombe sex!
Hayo mahusiano yatakuwa ya kibiashara au πŸ˜„πŸ˜„
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hii ni ndoto dada yangu, anyways bk bado ipo nijitoe muhanga?
 
Kuna Jamaa yangu, kilimkuta kisa kama hichi,.........mtoto asema ni bikra hataki kuguswa kabisa, haya tuka hudhuria nikhaa.. yani harusi ya kiislam, baadae jamaa alitoa talaka bila kumaliza wiki, kumuuliza kulikoni, jamaa anambia loooh hilo shimo nililokutana nalo siamini.....nimeingia na sifiki mwisho!!!!!nilimcheka sana!
 
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…