Utaambiwa na ww usiombe hela kabla ya ndoa........hahahahahah,Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.
Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.
SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.
Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
Natafute mke ambae hatoomba pesa kabla ya ndoa
Anyway natania mkuu
na awe na bikra isije baada ya ndoa tukakuta beseni alafu ukaanza kuitwa una kibamia ila naye awe tiyari kutokuomba helaUtaambiwa na ww usiombe hela kabla ya ndoa........hahahahahah,
Maswal mengine ni ya private , haileti mantiki ukijibia hapa
Kutokujibu hapa yes or no inatupa jibu kuwa ni yes. Awe tayari kupima covid 19 ambayo ni tishio kwa sasa. HIV ni kama maleria tuAwe tayari kupima magonjwa yote
Yeye asiombe sex ila wewe umuombe hela? SeriousHabari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.
Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.
SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.
Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
Sahihi.Ila kama ww hujawahi sex sawa!
hahahaha kmmmmkSiku baada ya NDOA nikija kukuta Hauna K utanilipa nini kwa muda wangu ulionisubirisha?
nippo tayari Kyushu nawe nina miaka 21 ila jealous swala la dini nitabadili biweekly muislamu
Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.
Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.
SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.
Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
nippo tayari Kyushu nawe nina miaka 21 ila jealous swala la dini nitabadili biweekly muislamu
Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.
Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.
SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.
Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
Yeye asiombe sex ila wewe umuombe hela? Serious
Mzani haujabalance aiseee.
Anyway. I think its okay kama wewe utakuwa bikra. Ila kama ulishaonjwa hicho kigezo kifute tu as hakimake sense.