Konseli Mkuu Andrew
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 749
- 875
Ni sawa na kuandika getini HATARI MBWA MKALI kumbe mbwa mwenyewe alishakufaHazifanyi kazi sasa aliweka za nini urembo au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sawa na kuandika getini HATARI MBWA MKALI kumbe mbwa mwenyewe alishakufaHazifanyi kazi sasa aliweka za nini urembo au?
Usitegemee mia kwa mia kutoka familia yenye ukwasi wa kutosha.Polisi wetu japo sometimes Wana maujinga ila wapo Makini
Wataleta majibu sahihi 100%
Polisi iwahoji vizuri wazazi wa marehemuHuyo house girl alililetewa na dereva taxi anakofanya kazi huyo mwanamke ni dereva taxi aliyemzoea yeye mwenyewe akamwambia ninatafuta house girl yule dereva akamwambia kule kijijin kuna mtoto wa kaka angu yupo tu nyumbani ndyo ukafanywa mpango akaja.Ila mm nina shaka huyo house hajafanya hilo tukio
Kama kuhoji kwenyewe ndio kule kwenye mateso makali na kulazimishwa akiri kosa ukweli hautakuja kujulikanakwenye zile W5 moja wapo ni Why???
umewaza nje ya box vyema sana,hata walioijua dunia vyema walifanya maalifa ya kuitizama kutoka nje kwanza.
nadhani kwa sasa polisi wameshajua kabisa binti ndiye mhusika kwa bahati mbaya au makusudi au siye kwa namna wanavyomuhoji nk.
Ongea kidogo kuhusu kubomoa geti, hii sijaiona mahaliPolisi iwahoji vizuri wazazi wa marehemu
Je aliyebomoa geti kabla beki 3 hajaletwa ni nani?
Mkuu sio kila mtu anahojiwa kwa mateso,hasa wenye kesi za mauaji.Kama kuhoji kwenyewe ndio kule kwenye mateso makali na kulazimishwa akiri kosa ukweli hautakuja kujulikana
Mama wa marehemu amesema chanzo cha kumpata huyo house girl Ilikuwa hivi:Ongea kidogo kuhusu kubomoa geti, hii sijaiona mahali
Hawa jamaa tunawadharau ila kwenye issue sensitive kama hizi wapo makini sana....Kama kuhoji kwenyewe ndio kule kwenye mateso makali na kulazimishwa akiri kosa ukweli hautakuja kujulikana
Huwenda kweli Ila tusubiri ukwel utajuliikana8. Usisahau huenda mtoto yule hakuwa wa baba yule. Mama alibeba mimba ya bwana mwingine, akagawa kwa bwana mwingine. Tukose wote.
9. Huenda doctor ana visa na mtu, kaamua amkomoe.
Kifupi pana mengi ya kuchunguza.
Mama wa marehemu amesema chanzo cha kumpata huyo house girl Ilikuwa hivi:
Siku moja alirudi nyumbani kea taxi ambayo inapaki ofisini kwao na huwa anaitumia mara kea mara. Walipofika nyumbani akaona kitasa cha geti kimebomolewa ufunguo unazunguruka tu ndipo akaguna kea mshangao
Dreva taxi akauliza " dada kulikoni?" Ndipo akamueleza kitasa kimevunjwa.
Dreva taxi akauliza dada hauna house girl? Anasema sins aliyekuwepo ameondoka juzi Kati
Dreva taxi anasema kuna mtoto wa kaka yake huko Handeni amemalizia shule yuko tu nyumbani atamuulizia kama atakubali.
Ndivyo beki 3 akaja
Umeambiwa zilikuwa zimezimwa two days before!
Kila hatua ilionekana kwenye CCCTV camera mkuuNimesikiliza kwa juu juu hii habari ya "housegirl" kumuua mtoto Kimara lakini kwa hisia tu nahisi huyu housegirl ni muhanga wa jambo ambalo linaweza kuwa limejificha.
1. Jambo hili linaweza kuwa limefanywa na mtu kwa wivu tu wa kuionea wivu familia. Ukitazama familia inavyoonekana haikosekani binadamu wa kuionea wivu.
2. Yawezekana baba ana mchepuko unaoweza kuona labda mtoto ni kikwazo kwa mambo mengi kwake
3. Huyo mtu aliyemleta housegirl ni nani? na ana mahusiano gani na familia hiyo.
4. Wakati hawana housegirl, ni nani waliyemuacha kuangalia nyumba pamoja na kijana, maana nimemsikia mama akisema hakuwa na housegirl. hapa nataka kusema inawezekana kuna watu waliwaachia uangalizi wa nyumba na walifaidika na jambo hilo, ujio wa housegirl mpya ukakata faida iliyokuwa inapatikana na binadamu kila mtu ana akili zake jinsi ya kutatua tatizo.
5. House girl aliyeondoka aliondoka kwa sababu zipi na yuko wapi?
6. Katika majirani na marafiki wa familia nao wahusishwe.
7. Huyo housegirl anayedaiwa kuuwa afuatiliwe alikotoka alikuwa mtu wa aina gani?
Maana yangu ni kama kuna mtu amefanya uamuzi wa kipuuzi kumuua mtoto kwa sababu ya kipuuzi tu ndogo, tuwaombe vyombo vya uchunguzi wamtafute huyo mtu mpaka apatikane na tusimbebeshe "housegirl" kama siye yeye aliyetenda.
Hakuna ushahidi wa uhakika zaidi ya CzNimesikiliza kwa juu juu hii habari ya "housegirl" kumuua mtoto Kimara lakini kwa hisia tu nahisi huyu housegirl ni muhanga wa jambo ambalo linaweza kuwa limejificha.
1. Jambo hili linaweza kuwa limefanywa na mtu kwa wivu tu wa kuionea wivu familia. Ukitazama familia inavyoonekana haikosekani binadamu wa kuionea wivu.
2. Yawezekana baba ana mchepuko unaoweza kuona labda mtoto ni kikwazo kwa mambo mengi kwake
3. Huyo mtu aliyemleta housegirl ni nani? na ana mahusiano gani na familia hiyo.
4. Wakati hawana housegirl, ni nani waliyemuacha kuangalia nyumba pamoja na kijana, maana nimemsikia mama akisema hakuwa na housegirl. hapa nataka kusema inawezekana kuna watu waliwaachia uangalizi wa nyumba na walifaidika na jambo hilo, ujio wa housegirl mpya ukakata faida iliyokuwa inapatikana na binadamu kila mtu ana akili zake jinsi ya kutatua tatizo.
5. House girl aliyeondoka aliondoka kwa sababu zipi na yuko wapi?
6. Katika majirani na marafiki wa familia nao wahusishwe.
7. Huyo housegirl anayedaiwa kuuwa afuatiliwe alikotoka alikuwa mtu wa aina gani?
Maana yangu ni kama kuna mtu amefanya uamuzi wa kipuuzi kumuua mtoto kwa sababu ya kipuuzi tu ndogo, tuwaombe vyombo vya uchunguzi wamtafute huyo mtu mpaka apatikane na tusimbebeshe "housegirl" kama siye yeye aliyetenda.
Baba alisema cctv cam zilizimwaKuna CCTV camera mzee.
Mnafunga cctv za laki moja na ushehBaba yake alipohojiwa amesema CCTV camera hazifanyi kazi kwenye nyumba yao.
Wafatilie mpaka huko shuleni piaPolisi waingie kazini, wasilichukulie juu juu hili suala, uchunguzi wa kina unahitajika kuna sintofahamu hapa na house girl anaweza akawa sio mhusika masikini...