Nahisi "house girl" anayedaiwa kuua mtoto ni muhanga

Nahisi "house girl" anayedaiwa kuua mtoto ni muhanga

Huyo house girl alililetewa na dereva taxi anakofanya kazi huyo mwanamke ni dereva taxi aliyemzoea yeye mwenyewe akamwambia ninatafuta house girl yule dereva akamwambia kule kijijin kuna mtoto wa kaka angu yupo tu nyumbani ndyo ukafanywa mpango akaja.Ila mm nina shaka huyo house hajafanya hilo tukio
Na inasemekana sababu ya kuletwa house girl hapo, kipindi fulani nyumban kwao hakuna mtu, walipotoka waliporudi walikuta geti,kufuli limefunguliwa ni kama mtu alijaribu kuingia ndani

Ova
 
Hazifanyi kazi sasa aliweka za nini urembo au?
Hii issue ipo sehemu nyingi wanaweka kuwatisha watu ili hali hakuna kitu, kuna mahali nilikuwa nafanya kazi kumefungwa CCTV Kila mahali basi mwanzo nikawa muoga muoga kidgo baadae nilivyozoea nikagundua kumbe mengine mabovu na Yale mazima mpaka bosi awepo ofisini kwake ndio anaona kinachofanyika muda huo tu ila asipokuwepo hawez ona chochote kilichofanyika nyuma.
 
Nimesikiliza kwa juu juu hii habari ya "housegirl" kumuua mtoto Kimara lakini kwa hisia tu nahisi huyu housegirl ni muhanga wa jambo ambalo linaweza kuwa limejificha...
Ukiangalia kwa umakini ,hoja zako Zina mashiko.Mwanzoni walidai Kuna footage za cctv kumbe siyo kweli,cctv zilikuwa zimezimwa,nani alizizima? Kama zilikuwa kwa ajili ya usalama iweje zizimwe na wenye nyumba wapo kazini?
 
Hata mimi nimewaza sana binti aje siku mbili amuue mtoto bila sababu za msingi halafu ampigie mama wa woto simu amueleze kwamba mwanae hapumui na kawa wabaridi halafu asitoroke? kuna kitu kimefichwa hapa, weledi wa wapelelezi wetu utaibua jambo hapa.

Hata body language ya mama wakati anasimulia nayo inatia mashaka vilevile.

Halafu what if yule mtoto ni wa baba kazaa na mwanamke mwingine ndio akamleta hapo waishi wote na mkewe? Au mama alimbambikiza mzee mtoto asiye wake na now akagundua akaamua kufanya aliyofanya?
 
Mama wa marehemu amesema chanzo cha kumpata huyo house girl Ilikuwa hivi:

Siku moja alirudi nyumbani kea taxi ambayo inapaki ofisini kwao na huwa anaitumia mara kea mara. Walipofika nyumbani akaona kitasa cha geti kimebomolewa ufunguo unazunguruka tu ndipo akaguna kea mshangao

Dreva taxi akauliza " dada kulikoni?" Ndipo akamueleza kitasa kimevunjwa.

Dreva taxi akauliza dada hauna house girl? Anasema sins aliyekuwepo ameondoka juzi Kati

Dreva taxi anasema kuna mtoto wa kaka yake huko Handeni amemalizia shule yuko tu nyumbani atamuulizia kama atakubali.

Ndivyo beki 3 akaja
Hii Sasa ndo ya kuanza nayo.Mama mtoto baada ya kukuta hiyo Hali,aliripoti polisi?Je,kabla na baada ya mtoto kurudi gate lilikuwa limefungwa? Hakuna uwezekano wa mtu wa tatu kuingia ndani na kufanya uhalifu?
 
Scenario pekee itayamhusisha housegirl ni labda alikuwa possessed... Bila hvyo kwa hii story ilivyokaa sioni kama anahusika.
Next scenario hapa nayoiona ni KISASI hapa kama mtoto ni wa kuzaa wa huyo mama then tuangalie dna ya huyo mtoto je ni wa huyo mzee na kama sio tumtafute baba halisi may be kulikuwa na mvutano mama na mchepuko wake kuhusu mtoto huyo jamaa akaamua wakose wote.
 
Kisheria,mtuhumiwa hatakiwi kuteswa.Kukiri yaani confession inatakiwa kwa hiyari ya mtuhumiwa mbele ya mwenye mamlaka.Hata hivyo,kukiri kosa hakutoshi mpaka kuwe na ushahidi mwingine unaolandana.

Nchi zisizofuata sheria hata ukienda kumshtaki mtu kwa chuki zako na una hela, cha kwanza wakikukamata unakula kipigo cha mbwa hata kama huna kosa

Wenzetu kwanza wana vitengo tofauti tofauti na la kwanza ni kuhoji watu wa karibu na marehemu hata awe baba au mume au mke lazima kote wapite mpaka kazini
Wakimshuku mtu hapo anateswa kiakili anaweza kuachwa chumba cha mahojiano peke yake hata masaa matatu kumvuruga akili tu huku wakimuangalia tu

Sisi kwetu ni tofauti
 
Aisee yanaibuka mengi sana kuhusiana na hili tukio. Hata mimi nilijiuliza sana binti wa kazi akae siku mbili aue mtoto labda awe kichaa kabisa. Pia polisi wakishirikiana na TCRA wafuatilie kuna "voice note" inasambaa mtandaoni kuna mama anasema yeye ni jirani na hiyo familia na ameona kwenye CCTV binti wa kazi akimnyonga mtoto. Polisi wamuhoji huyo mama maana hapa naona wachangiaji wanasema baba wa mtoto kasema CCTV haifanyi kazi/ilizimwa siku mbili kabla. Sasa huyo mama aliona kwenye CCTV ipi?
 
Aisee yanaibuka mengi sana kuhusiana na hili tukio. Hata mimi nilijiuliza sana binti wa kazi akae siku mbili aue mtoto labda awe kichaa kabisa. Pia polisi wakishirikiana na TCRA wafuatilie kuna "voice note" inasambaa mtandaoni kuna mama anasema yeye ni jirani na hiyo familia na ameona kwenye CCTV binti wa kazi akimnyonga mtoto. Polisi wamuhoji huyo mama maana hapa naona wachangiaji wanasema baba wa mtoto kasema CCTV haifanyi kazi/ilizimwa siku mbili kabla. Sasa huyo mama aliona kwenye CCTV ipi?
Mhhhhh
 
Hata na mimi nina wasiwasi na huyo housegirl kuwa yeye siye aliyefanya hivi. Ingekuwa yeye asingepiga simu na kulia kwamba mtoto ana shida fulani bali angesepa kivyake au akajibaraguza kimya kimya mpaka baadae ndiyo akaja kukamatwa.
 
Back
Top Bottom