Nahisi "house girl" anayedaiwa kuua mtoto ni muhanga

Nahisi "house girl" anayedaiwa kuua mtoto ni muhanga

Watanzania hawajui nini maana ya msaidizi wa kazi. Mnamtreat kama punda kwanini asiwapige teke?

Hata kama house girl akikutwa na kesi lakini bado haiondoi uhalisia kuwa kuna visababishi ambavyo inawezekana familia ni chanzo.
Lkn Kwa maelekezo ya Mama wa Mtoto msichana wa kazi alikuwa mgeni,hivyo sidhani kama alikosana naye Kwa kipindi kifupi hivyo.
 
Huyo house girl alililetewa na dereva taxi anakofanya kazi huyo mwanamke ni dereva taxi aliyemzoea yeye mwenyewe akamwambia ninatafuta house girl yule dereva akamwambia kule kijijin kuna mtoto wa kaka angu yupo tu nyumbani ndyo ukafanywa mpango akaja.Ila mm nina shaka huyo house hajafanya hilo tukio
Hapo kweli ni mashaka Maana msichana mwenyewe ni mgeni na ameletwa na mtu ambaye Mama wa Mtoto anamfahamu, hapo kweli ipo kazi kweli. Mungu awasaidie Vyombo vyetu vya usalama wajue chanzo Cha tatizo.
 

Unamaanisha huu uzi? 😎 😎
Ndio Mkuu
 
Polisi waingie kazini, wasilichukulie juu juu hili suala, uchunguzi wa kina unahitajika kuna sintofahamu hapa na house girl anaweza akawa sio mhusika masikini.

Binafsi kuna issue serious naiona hapa hasa masuala ya mahusiano aka michepuko ndio inaweza kuzalisha ujinga kama huu....Michepuko ya Mwanaume na Mwanamke kama ipo ifuatiliwe kwa kina.

DNA za mme na mtoto ziangaliwe hapo.

Binafsi naona kama binti wa kazi anabebeshwa msalaba tu hapa ila tatizo lipo kwa wahusika wenyewe.
House girl atakaa sana magereza akisubr tpf kufanya kazi ,Amin Amin nakuambia ataozea jela hakuna Cha maana hapo kweny uchunguz
 
Back
Top Bottom