Nahisi "house girl" anayedaiwa kuua mtoto ni muhanga

Nahisi "house girl" anayedaiwa kuua mtoto ni muhanga

Nitasoma comments zote, nazidi kujua kidokidogo
.. CCTV hazikuwashwa, why
.. jirani shuhuda alijuaje
.. kumbe nyumba pia ina houseboy japo alipewa majukumu ya nje
..mtoto alikuwa anasoma darasa la 3 na alitoka shule,
.. eneo alilojenga kapewa na mjomba na watoto wa mjomba hawakuridhika na walitaka wahame, ina maana wako jirani jirani au wako boma moja
.. mlongazila hosp yenye lawama nyingi baba ni doctor pale ?
... mjakazi alihudumu siku tatu kabla ya tukio, nani yuko nyuma yake.

Naendelea kusoma nitajua mengi japo it's too late.
 
No 4,Hapooo eneo alojenga alipewa na mjomba wake ina semekanika Ana mgogoro na watoto Wa mjomba Hawa kufurahishwa na yeye kimaisha katoboa! Na pia walikuwa na mpango Wa kuhama hapo
Wapelelezi sasa Jf imewapatia mahali pa kuanza kupafanyia kazi. Binti wa kazi ni kisingizo tu. Wachaga wameuwna wenyewe Kwa wenyewe hapo.
 
Alafu kumbe kuna mudaa kaka wa kazi nae alirudi nyumbani akaondokaa nashangaa why nae hajapelekwa polisii.. kuna namna hili tukio kwa asilimia 80 huyu dada naona anauziwaa kesii.. hii kesi isiangaliwe kwa wepesi kabisaa haya maisha yana mambo mengi sanaa
 
Nimesikiliza kwa juu juu hii habari ya "housegirl" kumuua mtoto Kimara lakini kwa hisia tu nahisi huyu housegirl ni muhanga wa jambo ambalo linaweza kuwa limejificha.

1. Jambo hili linaweza kuwa limefanywa na mtu kwa wivu tu wa kuionea wivu familia. Ukitazama familia inavyoonekana haikosekani binadamu wa kuionea wivu.

2. Yawezekana baba ana mchepuko unaoweza kuona labda mtoto ni kikwazo kwa mambo mengi kwake

3. Huyo mtu aliyemleta housegirl ni nani? na ana mahusiano gani na familia hiyo.

4. Wakati hawana housegirl, ni nani waliyemuacha kuangalia nyumba pamoja na kijana, maana nimemsikia mama akisema hakuwa na housegirl. hapa nataka kusema inawezekana kuna watu waliwaachia uangalizi wa nyumba na walifaidika na jambo hilo, ujio wa housegirl mpya ukakata faida iliyokuwa inapatikana na binadamu kila mtu ana akili zake jinsi ya kutatua tatizo.

5. House girl aliyeondoka aliondoka kwa sababu zipi na yuko wapi?

6. Katika majirani na marafiki wa familia nao wahusishwe.

7. Huyo housegirl anayedaiwa kuuwa afuatiliwe alikotoka alikuwa mtu wa aina gani?

Maana yangu ni kama kuna mtu amefanya uamuzi wa kipuuzi kumuua mtoto kwa sababu ya kipuuzi tu ndogo, tuwaombe vyombo vya uchunguzi wamtafute huyo mtu mpaka apatikane na tusimbebeshe "housegirl" kama siye yeye aliyetenda.
Bahati mbaya vyombo vya uchunguzi hawajui kufanya uchunguzi, lisemwalo hulichukua kama lilivyo.
 
Polisi waingie kazini, wasilichukulie juu juu hili suala, uchunguzi wa kina unahitajika kuna sintofahamu hapa na house girl anaweza akawa sio mhusika masikini.

Binafsi kuna issue serious naiona hapa hasa masuala ya mahusiano aka michepuko ndio inaweza kuzalisha ujinga kama huu....Michepuko ya Mwanaume na Mwanamke kama ipo ifuatiliwe kwa kina.

DNA za mme na mtoto ziangaliwe hapo.

Binafsi naona kama binti wa kazi anabebeshwa msalaba tu hapa ila tatizo lipo kwa wahusika wenyewe.
Tatizo Polisi wa Tanzania kuingia kazini ktk issue kama hizi weledi wao ni mdogo...

Tuombe Polisi hata wa Rwanda tu cku mbili tu...majibu tutayapaya
 
Mleta mada umeandika vizuri sana haya ndo maswali sahihi ya kujiuliza…hata ukiangalia investigation channel za wenzetu jinsi FBI wanavyoenda kuanzia chini kabisa ya tatizo na kumuhoji kila muhusika na ndio maana unaweza kuta hata huyo driver tax nae anahusika….school bus lilimbeba….mtoto alicontact na nani akiwa shuleni…na maswali mengi kama hayo ndo maana kwangu mimi hii ni moja kati ya challenging case kwa jeshi letu la polisi.
 
Hata mimi nimewaza sana binti aje siku mbili amuue mtoto bila sababu za msingi halafu ampigie mama wa woto simu amueleze kwamba mwanae hapumui na kawa wabaridi halafu asitoroke? kuna kitu kimefichwa hapa, weledi wa wapelelezi wetu utaibua jambo hapa.

Hata body language ya mama wakati anasimulia nayo inatia mashaka vilevile.

Halafu what if yule mtoto ni wa baba kazaa na mwanamke mwingine ndio akamleta hapo waishi wote na mkewe?

Umeongea point sana…kuna maswali mengi sana hapa…what if baba aligundua labda mtoto sio wake kahudumia from the beginning mpaka hapo..??? Kwa nini house girl hakukimbia baada ya tukio na simu alipiga.??? Na according to interview aliyofanya huyo mama amesema huyo house girl kwa kwa hizo siku mbili hakuona shida yoyote ile na alikuwa anajitambua….

Polisi wakishindwa inabidi tuwaalike wazee wa FBI kama tunavyoona case nyingi zinavyochambuliwa kwenye investigation channels
 
Mleta mada umeandika vizuri sana haya ndo maswali sahihi ya kujiuliza…hata ukiangalia investigation channel za wenzetu jinsi FBI wanavyoenda kuanzia chini kabisa ya tatizo na kumuhoji kila muhusika na ndio maana unaweza kuta hata huyo driver tax nae anahusika….school bus lilimbeba….mtoto alicontact na nani akiwa shuleni…na maswali mengi kama hayo ndo maana kwangu mimi hii ni moja kati ya challenging case kwa jeshi letu la polisi.
Ukute ndani iliingizwa maiti tu mdada wa kazi yuko bize na kazi zao wanazopangiwa nyingine zinaandikwa kabisa kwenye karatasi
 
Hao majirani si ni wale wambea wa mjini anasikia kitu anakidaka na kukisambaza ni kama Zai wa Kijiwenongwa
Umesema kweli hapa...
Jirani ameleta ujuaji kwenye hii ishu pasipo kuwa na facts. Na fact ni kuwa cctv camera hazikuwa zinafanya kazi. Kimbelembele cha kujiongeza kipumbavu cha jirani.
Polisi wafanye kazi yao kwa uweledi kwenye hili na wananchi tupate feedback ili tuwe na la kujifunza litusaidie kupunguza/ kuondosha ukatili wa namna hii.
 
Mbona nilisikia nyumba ina CCTV na zilithibitisha uhhsika wake.
Ila hata mimi nahisi there is more to this story. Yani siku ya tatu afanye maafa na asikimbie
Kwa hiyo wanaoua wote wanakimbia? Swali siku tatu tu aue? Ndiyo kama amekusudia hata masaa anaua, kikubwa uchunguzi ufanyike vyema, Ili aliyefanya hivyo ajulikane, ila house girl ndo alikuwepo nyumbani ndo maana Kawa mtuhumiwa wa Kwanza hivyo anaweza kuwa kafanya hivyo labda hakupenda kuja mjini au kaacha mpenzi huko na mengine anayoyajua yeye ila kuwa mtuhumiwa namba moja hilo ni sawa tu mpaka akiweza kujinasua.
 
Alafu kumbe kuna mudaa kaka wa kazi nae alirudi nyumbani akaondokaa nashangaa why nae hajapelekwa polisii.. kuna namna hili tukio kwa asilimia 80 huyu dada naona anauziwaa kesii.. hii kesi isiangaliwe kwa wepesi kabisaa haya maisha yana mambo mengi sanaa
Dada wa kazi wacha wamzuie. Pia kwa usalama wake. Pengine kashuhudia kitu ambacho kitasaidia ktk upelelezi. Wakimtoa anaweza n yeye akamalizwa. Dada wa kazi inawezekana kashuhudia tukio jp Sio yeye ameua na pengine ametishwa.

Kuendelea kumuweka ndani itasaidia ukweli kupatikana
 
Kila nikisoma huu uzi nakutana na mapya. Lakini bado akili yangu inakataa kabisa kuwa beki tatu mgeni na ana siku mbili/tatu tu kazini halafu kanyonga mtoto wa bosi wake kisha akampigia simu mama mwenye nyumba.
 
Hiyo Laki sijajua una maanisha nini ila kama una maanisha hawana uwezo wa kununua za mamilioni jua tu hawa watu wako vizuri sana ndugu...
Unaweza ukawa vizuri kifedha
Lakini ukawa bahiri wa kuweka
Vifaa vya uhakika kuogopa bei

Ova
 
Watu humu wameweka matumaini makubwa sana kwa Jeshi la polisi wanajifanya wamesahaaaau hau polisi wetu, kiufupi hiyo issue ishaisha na huyo Binti ndio anaenda kuozea jela maana wanachoenda kufanya polisi ni kumminya clitoris Kisha akiri ameua na mchezo utakuwa umeishia hapo.
 
Back
Top Bottom