Lkn Kwa maelekezo ya Mama wa Mtoto msichana wa kazi alikuwa mgeni,hivyo sidhani kama alikosana naye Kwa kipindi kifupi hivyo.Watanzania hawajui nini maana ya msaidizi wa kazi. Mnamtreat kama punda kwanini asiwapige teke?
Hata kama house girl akikutwa na kesi lakini bado haiondoi uhalisia kuwa kuna visababishi ambavyo inawezekana familia ni chanzo.
Hapo kweli ni mashaka Maana msichana mwenyewe ni mgeni na ameletwa na mtu ambaye Mama wa Mtoto anamfahamu, hapo kweli ipo kazi kweli. Mungu awasaidie Vyombo vyetu vya usalama wajue chanzo Cha tatizo.Huyo house girl alililetewa na dereva taxi anakofanya kazi huyo mwanamke ni dereva taxi aliyemzoea yeye mwenyewe akamwambia ninatafuta house girl yule dereva akamwambia kule kijijin kuna mtoto wa kaka angu yupo tu nyumbani ndyo ukafanywa mpango akaja.Ila mm nina shaka huyo house hajafanya hilo tukio
Geti lilibomolewa tena?Polisi iwahoji vizuri wazazi wa marehemu
Je aliyebomoa geti kabla beki 3 hajaletwa ni nani?
Ndio MkuuDilemma: Nipiganie Damu Yangu ili Ndoa Zetu Zitikisike au Ninusuru Ndoa Zetu lakini Damu Yangu Ipotee?
Ni wakati mgumu sana, kila ninapomkumbuka mwanangu. Ni wakati mgumu kila ninapopata hisia kwamba naweza kuharibu ndoa yangu. Ni huzuni pia moyoni nikiwaza kuwa naweza kuharibu Ndoa yake. ==================== Ndugu zangu Mwaka....niliingia katika uhusiano na mdada mmoja, ambaye ni Daktari (MD)...www.jamiiforums.com
Unamaanisha huu uzi? 😎 😎
House girl atakaa sana magereza akisubr tpf kufanya kazi ,Amin Amin nakuambia ataozea jela hakuna Cha maana hapo kweny uchunguzPolisi waingie kazini, wasilichukulie juu juu hili suala, uchunguzi wa kina unahitajika kuna sintofahamu hapa na house girl anaweza akawa sio mhusika masikini.
Binafsi kuna issue serious naiona hapa hasa masuala ya mahusiano aka michepuko ndio inaweza kuzalisha ujinga kama huu....Michepuko ya Mwanaume na Mwanamke kama ipo ifuatiliwe kwa kina.
DNA za mme na mtoto ziangaliwe hapo.
Binafsi naona kama binti wa kazi anabebeshwa msalaba tu hapa ila tatizo lipo kwa wahusika wenyewe.