mimi walinipigia kabla hata ya muda waliokadiria mzigo kuupokeaPosta huwa wako slow inaweza pita muda mpaka kukupigia ila hujapigwa. mimi niliwahi safirisha from aliexpress vitu vinaonyesha vimefika ikapita hata mwezi ndo eti posta wananipgia nikachukue. hata shida navyo ilikuwa ishaisha sikwenda maana kwanza nilikuwa nimesafiri.
Niwatishe Mimi kama Nani?? Store zipo nying Sana Kwan NI lazima kutumia Yao? Sio kwamba Mimi nikiacha nitawaaathiri kwa lolote Mimi sio kitu kwao, Mimi natafuta huduma nzurri tuu, mbona kama Una ubongo WA panzi mkuu huelewi kabisaUsi watishe AliExpress kutotumia STORE yao kwa oda kama hii.pia jifunze kitu kabla ya kufanya sawa.itakusaidia baadae.
All the best!!
Ukiwafuata ofisini kwao watakupatia.Nilimpigiwa simu na mawakala wa speedaf ila nilikua mbal, sikupokea simu Yao, hawakunitafuta tena na mzigo Hadi Leo umepotea, speedaf niwaizi na matapeli Bora walivyokua wanaipeleka posta, kwasasa situmii tena AliExpress kwasababu ya hawa matapeli speedaf, kwasasa nitarud eBay
Niliwapigia Sana wakaleta dharau nmewaachia Tu kitu chenyewe sio cha bei Sana na nilishanunua kingineUkiwafuata ofisini kwao watakupatia.
Wakala Huwa yeye ndo anamtafuta mteja ukashafika ofisini kwao na kuanza kuwapelekea wateja huyo anatakiwa kusubiriMzigo kama umetumia njia ya speedup wanamawakala wake ambapo ukifika tu kwa wakala unaokuwa delivered ww unatakiwa umtafute wakala wa sehemu ulipo ukauchukue
Fafanua bhana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unacheka cheka nini sasa..
The only and better way ni kukomaa nao tu š§āš¦ÆWw mgeni kutumia aliexpress ndio sababu
Ni katika harakati za kuonekana na yeye mjanja.Hapa nina uhakika haujui kitu kinachozungumziwa. Umeamua kuandika ili kwenda na upepo.
Airfryer imekugharimu kiasi gani mpaka bongo mkuuManunuzi $84.95
shipping $19.95
Total $104.90
weight sikumbuki, ni airfryer oven 12L
Nadhani jumlisha zile usd harafu zidisha kwa rate iliyopo utajua gharama zote Mkuu au..Airfryer imekugharimu kiasi gani mpaka bongo mkuu
Lakn jamaa anasema kwenye app mzigo upo derived na yeye hajaupokeaHakuna ulichopigwa hapo subiri utapigiwa simu. Aliexpress huwezi poteza hata shilingi moja. Wewe ndo unajukumu la kuthibitisha umepokea mzigo na hakuna mtu mwingine
Babe cocastic mbona una imoj za kucheka kila wakati uko na nyege?Fafanua bhana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ntakutia mikofi ya uso usinichekeeš”š”Fafanua bhana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
eBay Mimi nilinunua smart watch niliikuta kwenye sanduku langu la postaebu fafanua mkuu, make hata ebay pindi naanza kutumia nilikuwa mgeni wa ebay lakini sikukutana na changamoto hii wala nyingine
Bora kuchelewa kuliko kukosa kabisaaa Mimi Huwa nnatumia posta na mzigo haujawahi kufika mwezi bila kufikaPosta huwa wako slow inaweza pita muda mpaka kukupigia ila hujapigwa. mimi niliwahi safirisha from aliexpress vitu vinaonyesha vimefika ikapita hata mwezi ndo eti posta wananipgia nikachukue. hata shida navyo ilikuwa ishaisha sikwenda maana kwanza nilikuwa nimesafiri.
Fake store huwa wanabei nafuu sn kukutamanisha uingie mazima inatakiwa ukitaka kununua hakikisha store imekuwa verifiedPia kuna store fake..
fungua case uwe refunded