Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
- #41
Bangi kutumia hapa never happen mkuuVuta bangi au kula banana mbili mnazi za rombo kule, kichwa kipoe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bangi kutumia hapa never happen mkuuVuta bangi au kula banana mbili mnazi za rombo kule, kichwa kipoe
Tatizo lilianza hapa.Kama bado haujajua kupenda wewe ni mlemavu
Yanatisha mkuu.Ni kweli au?
Mkuu acha yalipita ila hili daah 🥺🥺Manyumba yanakuchanganya?
Aisee mzee amekula demu wako?Ombea yasikukute
Sawa! Sibishani na wewe naogopa Laana🤸Ana uzi wake mwingine una trend wa kutulaumu na kutulalamikia sisi wazee kwa kumchukulia mpenzi wake. Ndiyo maana nimempa ushauri wa kumtafuta wa kufanana naye.
Huyo aliyempiga tukio, atuachie sisi wazee wenye pesa za kumtunza na kumpetipeti.
Mkuu napitia mengiPole sana mkuu ,ndio madhara ya nyeto master.
Kuna watu wapo tayari kuharibu maisha ya watu mkuuVIP maisha yamekuwa magumu kwako au Kuna nin haiko sawaa
Yap hayo mkuu ,tushauriane apa?Mkuu napitia mengi
Youngman, you need to relax and accept the reallity. Don't forget you have a long journey to go. This is not the end! It is just the beginning. Ok?Hayajakukuta mkuu acha kabisa sema mdomo koma..
Angalia usije kujiua mkuu kila binadamu ana changamoto zake mkuu.Nipumzike sasa...
Nashukuru kwa yote. Huwenda kila kitu kina sababu.
Unacheka nini dogoSawa! Sibishani na wewe naogopa Laana🤸
Nimefurahi kukuonaUnacheka nini dogo